digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Kwamba hata haya mafuriko yako chini ya usimamizi wa watu,na ndo hao wameyaleta!!?😔😔😔
lengo ni kuwaamisha kama ngorongoro ili wachukuwe misitu, ilifanyika hawaii USA pia, walichoma moto mji mzima halafu watu hawakuruhusiwa kurudi wakapora ardhi, tegeni sikio mtaona kitakachofwatia.
kila kitu kimepangwa wanacheck boxes tu, walimchomoa waziri wa sheria ambaye huko ni kwao kwanza, halafu wakalipua mlima, btw kesi yake imefikia wapi ?