digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
lengo ni kuwaamisha kama ngorongoro ili wachukuwe misitu, ilifanyika hawaii USA pia, walichoma moto mji mzima halafu watu hawakuruhusiwa kurudi wakapora ardhi, tegeni sikio mtaona kitakachofwatia.
kila kitu kimepangwa wanacheck boxes tu, walimchomoa waziri wa sheria ambaye huko ni kwao kwanza, halafu wakalipua mlima, btw kesi yake imefikia wapi ?
Kwamba hata haya mafuriko yako chini ya usimamizi wa watu,na ndo hao wameyaleta!!?πππ
Mkuu huoni kama hizo streams zinatafuta permanent flows..Hayo maji yataosha matope yote na kuondoka, nature kitu kingine
Kwahyo serikali ndyo ilinyeshesha mvua?. Idiotlengo ni kuwaamisha kama ngorongoro ili wachukuwe misitu, ilifanyika hawaii USA pia, walichoma moto mji mzima halafu watu hawakuruhusiwa kurudi wakapora ardhi, tegeni sikio mtaona kitakachofwatia.
kila kitu kimepangwa wanacheck boxes tu, walimchomoa waziri wa sheria ambaye huko ni kwao kwanza, halafu wakalipua mlima, btw kesi yake imefikia wapi ?
Kwa hiyo wameita mvua? Mganga wa mvua alikuwa babuyo?lengo ni kuwaamisha kama ngorongoro ili wachukuwe misitu, ilifanyika hawaii USA pia, walichoma moto mji mzima halafu watu hawakuruhusiwa kurudi wakapora ardhi, tegeni sikio mtaona kitakachofwatia.
kila kitu kimepangwa wanacheck boxes tu, walimchomoa waziri wa sheria ambaye huko ni kwao kwanza, halafu wakalipua mlima, btw kesi yake imefikia wapi ?
Kwa hiyo wameita mvua? Mganga wa mvua alikuwa babuyo?
Kwahyo serikali ndyo ilinyeshesha mvua?. Idiot
Sio lazima kila kitu unachoona ujifanye mjuaji... mvua inahusika nini na matakwa ya watu?!lengo ni kuwaamisha kama ngorongoro ili wachukuwe misitu, ilifanyika hawaii USA pia, walichoma moto mji mzima halafu watu hawakuruhusiwa kurudi wakapora ardhi, tegeni sikio mtaona kitakachofwatia.
kila kitu kimepangwa wanacheck boxes tu, walimchomoa waziri wa sheria ambaye huko ni kwao kwanza, halafu wakalipua mlima, btw kesi yake imefikia wapi ?
Kama haujaaribiwa na movie basi una tatizo la locus of control,watu kama nyie hutafuta wapi wa kumtupia lawama katika kila tatizo linalomtokea,hata ukikojoa kitandani utamlaumu mkeo kwa kutokukuamsha usiku.lengo ni kuwaamisha kama ngorongoro ili wachukuwe misitu, ilifanyika hawaii USA pia, walichoma moto mji mzima halafu watu hawakuruhusiwa kurudi wakapora ardhi, tegeni sikio mtaona kitakachofwatia.
kila kitu kimepangwa wanacheck boxes tu, walimchomoa waziri wa sheria ambaye huko ni kwao kwanza, halafu wakalipua mlima, btw kesi yake imefikia wapi ?
Alafu dk 1 tu15Mb