Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndiyo ujinga tunao ukataaSubiri 28/10 title yake itakapo someka kwa manenio haya'aliyekuwa mbunge wa.....' ndipo utajapojua kumbe fedha huombwa kwa Rais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo ujinga tunao ukataaSubiri 28/10 title yake itakapo someka kwa manenio haya'aliyekuwa mbunge wa.....' ndipo utajapojua kumbe fedha huombwa kwa Rais.
Hii ndiyo kazi ya mbunge.Mbunge anaongea na waziri kupitia bunge. Magufuli na Gwajima alitaka Halima afanye nini zaidi?
Sasa akiomba hivi, halafu mwishoni mwa kupitisha budget anafunga mdomo anasema hapana, sasa hii akili au matope? Ulitaka serikali itekeleze kwa budget ipi, au uliyoikataa? Mwaka huu hatuchanganyi, ni mafiga matatu, hawa wametuchosha kufunga midomo na kutoka nje!
Jinga sana hili jamaaAmeumbuka au amejiumbua mwenyewe.