Video: Hatimaye aliyeongoza mashambulizi ya Octoba 7 awahishwa kule waliko wengine, auawa

Video: Hatimaye aliyeongoza mashambulizi ya Octoba 7 awahishwa kule waliko wengine, auawa

Tatizo la wakristo wengi hawafahamu kuwa Yesu alikuwa Mpalestina.
 
Hizo story za kujipoza ili waonekane wamefanya kiti cha maana tumeshazichoka tunachouliza wapo wapi mateka????
MATEKA SIO KIPAUMBELE BALI KIPAUMBELE KUWAUA WAARABU WA HAMAS HATA KAMA WAKIVAA KIRAIA NA KUJIFICHA KWA RAIA......IDF HAINA SHIDA MATEKA
 
Tatizo la wakristo wengi hawafahamu kuwa Yesu alikuwa Mpalestina.
BIBI USHAANZA UONGO WA KINAFIKI KUSEMA YESU ALIKUA MWARABU.......WAKATI HIYO PALESTINA JINA LIMEKUJA JUZI TU BAADA YA KUONDOKA WAKOLONI WA KITURUKI HAPO......1918
LABDA ISSA WENU WA KWENYE KURAN NDIO ALIKUA MWARABU......
LAKINI YESU WA UKOO WA YESSE MTOTO WA YEHOVA HAKUA MWARABU NA ALIISHI KATIKA HIMAYA ZA WAYAHUDI CHINI YA WAKOLONI WAKIRUMI
 
Huwezi kuwaangamiza watu wenye kupigania haki yao. Utawaumiza lakini hutawamaliza.
Hata wao waarabu hawawezi kuwamaliza watu wanaopigania haki yao na wala hawatofanikiwa.......Si Qur'an 9:30 imewaambia waarabu na waislamu wawaue wayahudi ns wakrsto ila wameambulia patupu sababu allah amezidiwa nguvu na YEHOVA
 
3_169.gif

Qur'an 5:169. Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi. 169
Naona unawapromoti wakoloni wa kiarabu zanzbar 🤣🤣🤣🤣
Alllah kazidiwa nguvu na Yehova gaza🤣🤣🤣
 
Kafiri unapata tabu wapi Max shimba ministry alikuwa kama wewe?
Mkuu wewe mwenyewe unaongea kufikirika....hauna ushahidi zaidi ya mapokeo ya utamaduni wa kiarabu.....
Au unao ushahidi mkuu unipe???
Sio wa maneno...bali wa kuonekana..
 
Mzee matusi hayasaidii wenzio wanachapika,,,,angalia al Jazeera
Na wanachapika haswa mpaka Watangazaji wa Al Jazeera wanatangaza huku wanataka kulia.Siku hizi yule msemaji wa Wizara yao ya Afya kachoka kila siku kutoa update ya vifo maana kipigo bado ni kikali na hakuna dalili ya 'Ceasefire'
 
Mkuu nilikua nakujibu uliposema kafir hana thawabu au umesahay...maana najua hakunaga kitu kinaitwa thawabu duniani zaidi ya simulizi tu za kufikirika
NIKAKUAMBIA KUA NYOTE WAKRSTO NA WAISLAMU MNAFUATA MAPOKEO HAMNA UHAKIKA WALA USHAHIDI...
MKIWA KUHUSU THAWABU NAO NAUUOMBA ILA USIWE WA MANENO...
Ungejua maana ya neno kafri na gaidi lipi baya ?Usingekubali kuitwa gaidi
Kafiri haamini Mungu basi ...Sasa kaangalie neno gaidi uone.
 
Ungejua maana ya neno kafri na gaidi lipi baya ?Usingekubali kuitwa gaidi
Kafiri haamini Mungu basi ...Sasa kaangalie neno gaidi uone.
Mungu aitwae allah yupo wapi...mlete tumuone kama ni kweli yupo????
Afu swali langu lilikua kuhusu thawabu mbona unalikwepa mkuu???
Au hukuliona???
 
Sijibu swali kwa sababu wewe mgalatia ndio maana neno kafiri limekuchoma😅😅
Umeshindwa kujibu sababu hauna hoja na hakuna muislamu hata mmoja anayeweza kujibu maswali yangu.....hili neno kafir litanichomaje mtu nisiyeamini simulizi za kufikirika
Hata muhamad na hawawezi kujibu maswali yangu....
Bali angenipa tu simulizi za maneno bila ushahidi.
NB: MKUU SWALI LANGU LILIKUA THAWABU UMELIKWEPA HIYO KAFIR UMELETA WEWE...SABABU HATA KWENYE LUGHA YA KIAFRIKANA MAKABURU WANA NENO KAFIR PIA WAKIMAANISHA LOCAL NATIVE......NA KWA WAARABU NA WAISLAMU WAKIMAANISHA WATU WASIOAMINI MUNGU WA KUFIKIRIKA WA KIARABU ALLAH
 
Sijibu swali kwa sababu wewe mgalatia ndio maana neno kafiri limekuchoma😅😅
Waislamu na waarabu hawawezi kujibu maswali ya wasomi kama sisi....sababu dini ni hekaya za kufikirika...
NB: NDIO MAANA UMEKWEPA KUJIBU KUHUSU THAWABU
 
Back
Top Bottom