sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nimeona kuna video inarekodi kijana amechanjiwa kinga huku mtaalam akiijaribu, ni aina ya kinga kwa huko Kongo lakini hata Kwa mikoa jirani hasa Kigoma wapo wataalam.
kuna huyu mpuuzi yupo na simu anarekodi sasa video imevuja mitandaoni, alichofanya ni ujinga uliopitiliza, hata wazungu wakiendaga huko wanakaziwa, hizi tiba sio za kutoa ama kuonyesha ovyo ovyo.
Ingekuwa ni ile ya kuweza kutafuna sindano na nyembe bila athari ni sawa tu angerekodiwa na nadhani mshawahi kuwaona waliofanyiwa hizo dawa, ila hii ni ishu nyingine kabisa, hii ni kinga lakini ukigundulika unayo huwa unaweza kuuliwa kirahisi mno huwa kuna mbinu, maisha ya huyu kijana kwa sasa yanaweza kuwa hatarini sana endapo watu wakishawishika kutesti kuitegua.
Pia kinga hizi hutumika zaidi na wezi wa ng'ombe, majambazi, watekaji, n.k. hii inaweza kumpa picha mbaya huyu kijana.
kuna huyu mpuuzi yupo na simu anarekodi sasa video imevuja mitandaoni, alichofanya ni ujinga uliopitiliza, hata wazungu wakiendaga huko wanakaziwa, hizi tiba sio za kutoa ama kuonyesha ovyo ovyo.
Ingekuwa ni ile ya kuweza kutafuna sindano na nyembe bila athari ni sawa tu angerekodiwa na nadhani mshawahi kuwaona waliofanyiwa hizo dawa, ila hii ni ishu nyingine kabisa, hii ni kinga lakini ukigundulika unayo huwa unaweza kuuliwa kirahisi mno huwa kuna mbinu, maisha ya huyu kijana kwa sasa yanaweza kuwa hatarini sana endapo watu wakishawishika kutesti kuitegua.
Pia kinga hizi hutumika zaidi na wezi wa ng'ombe, majambazi, watekaji, n.k. hii inaweza kumpa picha mbaya huyu kijana.