Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
hawataamini kitakachotokeaCCM imeshafariki!
Ya Bukoba ni send off, harusi itafanyika Mbeya.Lissu anashinda kwa 70% , wameanza kuzomewa huko Kagera ambako Lissu bado hajagusa
lazima wanamipango haramu wanaratibu,siwaamini kabisaAm anxious kujua nini kitajiri oktoba 28,
Yametimia.! Mtoto wa mjini Kikwete aliona mbali. Mtupoli akabisha na kujiona mjanja, miaka mitano anategemea polisi kwa kila jambo. Anachokiona sasa hatokaa asahau.
CCM ya Magufuli IMEKWISHA kweli.
Kuna baadhi ya watu kama wamejiengua hivi kukwepa aibu, mfano membe kwenda Dubai kipindi hiki cha kampeni, jk kutokuwepo kwenye kampeni na wafanuabiashara wakubwa pia.lazima wanamipango haramu wanaratibu,siwaamini kabisa
Hivi wabunge wa ccm hawajaanza kampeni naona kimya. Au wamepita wote bila kuchaguliwa a.k.a bila kupingwa?Kiukweli kampeni za mwaka huu zaweza kuwa fundisho kubwa sana kwa dunia, kwamba unaweza kudhibiti watu kwa kutumia polisi na wakakuangalia tu kama mabwege hivi lakini kumbe wamekutega mahali fulani ili unase, CCM kwisha habari yake.
Wafanya biashara wamenyoshwa sana. Wameshapata SOMO wanasubiri Lissu kuapishwa wapate ahueni.Kuna baadhi ya watu kama wamejiengua hivi kukwepa aibu, mfano membe kwenda Dubai kipindi hiki cha kampeni, jk kutokuwepo kwenye kampeni na wafanuabiashara wakubwa pia.
Nyie maneno yenu mtaua mtu bila kukusudia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ya Bukoba ni send off, harusi itafanyika Mbeya.
Hivi alishaanza kampeni?Ndiyo maana yule Mataga Waitara alikimbilia kijijini kwa Heche akafikili atapata mtelemko,lakini nako anapata kipigo.
Hata vyombo vya usalama navyo vimechoshwa na mwenendo mzima wa uongozi wa nchiWafanya biashara wamenyoshwa sana. Wameshapata SOMO wanasubiri Lissu kuapishwa wapate ahueni.
Katufanyizia kazi kwa miaka mitano, sisi tunahitaji siku moja tu.Nyie maneno yenu mtaua mtu bila kukusudia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huku si ndio bwana yule aliwapiga mkwara? aisee kumbe alikuwa anachochoea kuni moto uwake vizuriKiukweli kampeni za mwaka huu zaweza kuwa fundisho kubwa sana kwa dunia, kwamba unaweza kudhibiti watu kwa kutumia polisi na wakakuangalia tu kama mabwege hivi lakini kumbe wamekutega mahali fulani ili unase, CCM kwisha habari yake.
View attachment 1571840