Atatoka na watu Mwanza wakajaze uwanja Mbeya.Ya Bukoba ni send off, harusi itafanyika Mbeya.
Hivi wabunge wa ccm hawajaanza kampeni naona kimya. Au wamepita wote bila kuchaguliwa a.k.a bila kupingwa?
Uongo wa maccm unajulikana kila mahali. Jana baada ya jpm kuzomewa tutarajie kuandaliwa vikundi kibao vya wahuni kuzomea kwenye mkutano wa chadema.sehem iliokua imebaki ya CHADEMA ndo Arusha, na Arusha yenyewe ndo kama hivi watu wanaenda kwenye kampeni za Lema wakiwa wamevaa ccm
Lema kawashika hadi wanachama wa ccm wanajisahau wanaacha mikutano yao wanakimbilia ya Lemasehem iliokua imebaki ya CHADEMA ndo Arusha, na Arusha yenyewe ndo kama hivi watu wanaenda kwenye kampeni za Lema wakiwa wamevaa ccm
Uongo wa maccm unajulikana kila mahali. Jana baada ya jpm kuzomewa tutarajie kuandaliwa vikundi kibao vya wahuni kuzomea kwenye mkutano wa chadema.
Lema kawashika hadi wanachama wa ccm wanajisahau wanaacha mikutano yao wanakimbilia ya Lema
Gambo hapo hatoboi hata asaidiwe na JWTZutajua hujui october, jana watu wameingia kwenye kampeni wmevaa ccm, jamaa anawasema wamama wanaouza mboga alafu yeye ndo alikua mbunge miaka 10 π π π π π
Gambo hapo hatoboi hata asaidiwe na JWTZ