Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
......ituondolee anaetulimisha kwa meno!
Wewe wa Lumumba unafahika siyo sisi wengine.Unadhani serikali haitujui kisa fake id?
Muwe na uhakika na video mnazotuma, uzushi sio mzuri
Wewe sio mkubwa kumbe bado mtoto!Jamani tuwe makini kila mtu kwa namna anavyoweza..maana ukweli wanaujua wakubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia na watoto!Uhakika gani unautaka?
Tutakuwa case study ya dunia miaka ya baadae on what not do when it comes to dealing with pandemic.binafsi nimechukizwa kwa namna wanasiasa walivyo ingilia mchakato wa kuzuia COVID19, 'ohoo ukiweka karantini uchumi wetu utaanguka??….'''''
Ya Ecuador yanatisha mkuu, tuombe tu Mungu apitishe mbali.....Ecuador Part 2
Imetokea Kariakoo ndiyo. Watu wanaumwa hadi wanafia ndani bwana. Hili ndiyo litakalotumaliza Watanzania
Kabla ya hili janga umewahi kuona watu wanakufa hovyo njiani? Tena bora hapa kwetu. Kwa wenzetu mmoja kabla ya lockdown mtu kutembea nakukutana na watu wanne wanakufa njiani ilikuwa kawaida. Au umeona ile video ya Equador watu wanafia vituo vya mabasi? Huu ugonjwa hiyo ndiyo staili yake ya kuua. Unalegeza mwili ndani ya dakika chache virus wakishakolea unaipata habari yake!
kuna mtu anabisha sio Tanzania?Haya twende Polepole tomaso......umeona tangazo hili la Serengeti bia?
Kama zipo, hazizidi hamsini nchi nzima.Acha bwana.Tunazo za kutosha hizo ventilators??
Hana ata MB za kuwach aone kuwa wanazungumza Kiswahili?Jezi ya polisi,Kuna mtu anaita braza we,pia tangazo na madhari pia muundo wa ambulance
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kule Italy hukuona watu wakianguka mabarabarani? Tatizo hamfuatilii.G sam unatuonaje yani hadi unatuongopea kiwango hiki?
Video ya equador watu walikuwa wanafia makwao na wanaletwa na kuweka bara barani kwa sababu hospitali au wahusika walikuwa hawaji kubeba hizo maiti.
Ila sio kwamba walikuwa wanakufa wakiwa wanatembea.
Ach kutia watu hofu.
Hilo la kuchapa kazi ndo wengi wanataman kulisikia,, sku wakianza kukohoa ndo watajua pamekucha tiyari!!, covid- 19 si ya kucheza nayo wazee, tuwe makini sanaNi mgonjwa wa kifaduro nchini Burkina Faso, mji wa Ouagadougou ilitokea mwaka 2017, endeleeni kuchapa kazi, na mfuate ushauri wa wataalamu....za kuambiwa changanya na za kwako 😀
Hapa ndiyo huwa tunakosea na kuja kupukutika kama nzige waliopigwa sumu, yaani badala ya kuchukua hatua stahiki tunasema tumuombe Mungu yule wa Italy, Spain, China na USA atuepushie mbali! Hapa ndiyo mtu mweusi huwa anaonekana fala na kubaguliwa!