KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
China zilionyeshwa picha za watu waliokuwa wanatembea mitaani na ghafla kudondoka na kufa, na watu wakiwepo wakishuhudia tukio hilo.Hakuna picha inayoweza kuonyesha mtu akidondoka.
Kama clip ipo itume.
Mimi nimeongelea clip ya equador. Jamaa kasema walikuwa wanatembea wanadondoka kitu ambacho sio kweli. Kabalisha kasema Italy sasa na wewe unasema China. Daah.
ulitaka waende na yebo yebo?Wadau, kuna video inasambaa huko mitandaoni ikionyesha wahudumu wa afya katika mtaa unaotajwa ni mtaa wa Nkuruma street katika ya jiji asubuhi hii wakitoa kinachoonekana ni mwili wa mtu huku wakiwa wamevaa gloves na mavazi maalumu ya
Ushachelewa mzee baba utaenda kuikwaa korona kwenye mabas ukauwe wazee bure we tulia tu hapa ufe kama gentleman 😂😂Sijui nirudi kijijini?
Aise.Asante kwa ufafanuziKama zipo, hazizidi hamsini nchi nzima.
Lakini huenda marafiki zetu wachina wakatusaidia hivi karibuni kupata nyingine!
Waliokwishwa walikuwa hawaombi?Tutakwisha .Hapa tuombe nusura kwa Mwenyezi Mungu tuu.
Kwa sie wakali wajiji hata tukiona tu bati tu tunajua mtaa gani hapoWapi proof kwamba hapo ni Bongo?
Inawezekana si unajua wabongo wanavyojua kushangaa, watarundikana wasipozuiwa watasogea hadi kwenye gari kabisaMmmh hapo bongo kwel?
Unataka nn na ID fake zawatu?Unadhani serikali haitujui kisa fake id?
Hii video SI YA KWELI,naomba niwe mkali kidogo NI KOSA KISHERIA KUZUSHA TARIFA ZISIZO ZA KWELI NA KULETA TAHARUKI KWA WANANCHI WENGI WATAPATA TABU KWA HII TABIA OMBI LANGU MITANDAO YA KIJAMII IZUWIE TAHARIFA KAMA HIZI KWANI ZINALETA HOFU KWA RAIA
"TUNAWE MIKONO KWA SABUNI NA MAJI TIRIRIKA, TUEPUKE MISONGAMANO NA TUSIKILIZE TARIFA NA MIONGOZO INAYOTOLEWA NA WIZARA YA AFYA TUWACHE KUSIKILIZA WAZUSHI"
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Wapi? Bakieni huko huko msituletelee vya kuleta hukoSijui nirudi kijijini?
Sijui nirudi kijijini?
Kama nakumbuka vizuri mbunge wa ccm aliwaambia wabunge wanaume kuwa wamekaa nyuma mbungeni mbele wamewaweka wanawake.