KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
China zilionyeshwa picha za watu waliokuwa wanatembea mitaani na ghafla kudondoka na kufa, na watu wakiwepo wakishuhudia tukio hilo.Hakuna picha inayoweza kuonyesha mtu akidondoka.
Kama clip ipo itume.
Mimi nimeongelea clip ya equador. Jamaa kasema walikuwa wanatembea wanadondoka kitu ambacho sio kweli. Kabalisha kasema Italy sasa na wewe unasema China. Daah.
Hiyo ya Ecuador sijaiona, ya China ninayo uhakika.