Video hii inayodaiwa ni Nkuruma Street, City Center jijini Dar-es-Salaam asubuhi ya leo, inahusu tukio gani?

Wajinga hawawezi kukuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifikia ile hatua ya kukosa hewa, kama hukuwekewa ventilator machine, huna dakika zaidi ya 20 za kuishi.

Dakika 20 Mbona nyingi sana Mkuu
Hebu bana pumzi


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Mkuu umenishusha presha/kimuhemuhe cha hatari nilichokuwa nacho
 
Ni kawaida kunapotokea epidemics or pandemic, any demise by any causes inakuwa handed with maximum medical precautions.
P

Mkuu Ummy alishatuandaa kisaikolojia... Alifanya hivyo just last week alipokuwa akiongea na viongozi wa dini...
Na nahisi projections za WHO japo hatuzipendi lakini model yao ni kama haikukosea sana...
 
Unatuchanganya mkuu,ni bora ungekaa kimya kwa kuwa taaluma ya fani yako hairuhusu kuwasilisha kitu kisichokuwa na uthibitisho kwa hadhira. Acha sisi tuendelee na speculations zetu,ila kuna kitu nyuma ya pazia ambacho tunafichwa. Taarifa sahihi ni mojawapo ya njia za kupigana na hili janga
 
Ukitaka ujue wabongo hawana shughuli za muhimu, vaa headphone yako, tembea mpaka riverside au sehemu yenye watu ambao wanaonekana wapo busy sana, washa sebene anza kuyarudi. Utashanga umezungukwa fasta watu wanakutazama.
 
Hata sijui! Mimi nilikuwa kazini mitaa hiyo hiyo sikuona hiyo. Hao walikuwa wa natazama ni wazururaji ambao Makonda alipaswa kuwakamata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinga ni Bora kuliko tiba-ndio maana l
Kwa sasa kila kona ktk Jiji la Dar kuna ndoo ZA maji ya kunawa ktk kipindi hiki cha corona sio jambo la kushangaza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…