Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
hakijachafukaKitu kichafu kinachafuliwaje tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakijachafukaKitu kichafu kinachafuliwaje tena?
hali ishakuwa teteMtaaa wa nkuruma karibu na clock tower ndugu usibishe karibu tena na jengo la bora
Mtaaa wa nkuruma karibu na clock tower ndugu usibishe karibu tena na jengo la bora
We mbwa na miakili yako ya ccm hunaona daladala na taxi za dar?!......Nchi imekosa maarifa hata kuona hamuoni??Wewe ndio zoba! Dala dala ziko wapi hapo?
Mnachokiombea hakitokei basi mnapata hasira kweli kweli, na bado mtavimba sana.
Badala ya mkazane kudai katiba mpya inayowaletea tume huru nyie mmekazana kueneza uzushi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ndugu tuko pamojaSawa nafunika, na wewe zuia muingiliano wa watu wa Jiji la Dar lililoathirika na COVID-19 na mikoa mingine isiyo na maambukizi - hili nalo hadi ufundishwe kaka!!
Acha ubishi mjomba tuulize sisi tuliokulia mjini huo ni mtaa wa nkurumah karibu na jengo la bora kama unapajua vizuri mitaa tuliyokulia hiyoSio Tanzania hapo
Acha ubishi mjomba tuulize sisi tuliokulia mjini huo ni mtaa wa nkurumah karibu na jengo la bora kama unapajua vizuri mitaa tuliyokulia hiyo
By CIAManipulation!
mungu atunusuru tutaimba wimbo mpyahali ishakuwa tete
Wadau,kuna video inasambaa huko mitandaoni ikionyesha wahudumu wa afya katika mtaa unaotajwa ni mtaa wa Nkuruma street katika ya jiji asubuhi hii wakitoa kinachoonekana ni mwili wa mtu huku wakiwa wamevaa gloves na mavazi maalumu ya kuwakinga na maambukizi(protective gear).
Swali:kuna nini kimetokea kwa anaejua?
Wahusika tunaomba ufafanuzi.
Serikali iweke wazi ili jambo tutaisha
Hii video itakuletea shida huku sio pake
Jr[emoji769]
mshana mbona unatutisha, ina maana inaweza fuatiliwa na watesi wetu?Hii video itakuletea shida huku sio pake
Jr[emoji769]
Lakini hapa si wamekwenda kumchukua/kuchukua hivyo at that point hawajui chanzo cha kifo chake.Corona ni jangwa la kimataifa. Hao wahudumu wanajitahidi kujikinga maana hawana uhakika wa sababu ya hicho kifo.
NB:
Ni vizuri watu kuwa wakweli ili kuwasaisia watu wengine. Tatizo likitokea, basi watu waambiwe ni tatizo na si kuficha ficha. Mimi naamini taarifa za wagonjwa zingewekwa wazi "japo utaambiwa ni siri ya mgonjwa" zingisaidia jamiii kubwa kujiami na hili gonjwa.
Mkuu mbona unauliza swali lenye jibu. Mi kwetu mbali la sivyo ningeenda kwa bibi yangu.Sijui nirudi kijijini?