G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Kabishiiii...Wewe huoni kuna daladala za bongo hapo? Umejikalia tu kama zoba!Kwa akili yako hapo kuna ushahidi wowote kwamba ni dar? Na sio Congo au kwingineko?
Je na hao watu walialikwa kuja kushuhudia mtu aliekufa kwa corona?
Sent using Jamii Forums mobile app