Huyu ngoja aende wamfanye kama alivyowafanya wenzake
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado sitaki kuamini kama Mh Kangi aliwahi kuamini kama kuna siku atakuja kuondoka madarakani kwa aibu kiasi hiki .
Nawaomba sana vijana mnaopata madaraka leo mjifunze sana kwenye jambo hili
Sent using Jamii Forums mobile app