VIDEO: Hii ya kutandika Biblia chini ili marehemu apite imekaaje, Mwenye uelewa na hili pitia hapa

Tuazime alibadiri kwa wavaa mitandio tumuwajibishe huyu
 
Uzuri kwa wakristo hakuna ambae anampigania Mungu kwa kudhuru wengine.

Huyo ataachwe Mungu ndio atajua jinsi ya kumhukumu.

Hutaona mapadre Wala maaskofu wanazungumzia hilo suala. Ingekuwa upande wa pili Hadi Sasa kungekuwa na matamko 1000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…