HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,563
- 48,223
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jane am sure unamatatizo.Sura mbooooooovuuuuuuuuu
Umenikumbusha kitu kipunguni,Kuna mmoja hapo alikuwa mkalimani wa wajapan wanaokuja bongo na pia alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya kuuza magari ya kashin car muscat kitambo kile kule kipunguni
Kwa ujumla hawa watoto wa kipozi wote kichwani
Wako vizuri
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mimi nilikuwa napenda sana wakishirikishwa kama kwenye Baishoo ya Mac D, sikutaka kuachana nawe ya Dudu baya,Nawakubali sana unique sisters! Long tym sana kwenye game!!
Best song: Unique Sisters - Bounce.
kulikuwa hakuna mark up kama sasa huo ndio uhalisia waoSura mbooooooovuuuuuuuuu
Video ilikuepo, hii ni wimbo wng bora kbs toka kwao.
Haikuwepo
Hawa wadada Walikuwa hawana mpinzani kwa sautiVideo ilikuepo, hii ni wimbo wng bora kbs toka kwao.
Video ilikuepo, hii ni wimbo wng bora kbs toka kwao.
Nielewe kipi..?Haikuwepo
Nasikia wote wameshafariki...Hawa wadada Walikuwa hawana mpinzani kwa sauti
Video ipo tena nzuri tu. Ktk video kuna sehem wamevaa madera kuna sehemu nyingine wapo beach. Tena kwny video yupo mkk flani anaitwa edy alikua anatangaza kipind cha watoto wetu itv enzi hizoNielewe kipi..?
Nami inanijia kumbukumbu Kama hiyo ila Sasa sijui ndo wimbo huu au!! Mkuu iweke Kama unayo..Video ipo tena nzuri tu. Ktk video kuna sehem wamevaa madera kuna sehemu nyingine wapo beach. Tena kwny video yupo mkk flani anaitwa edy alikua anatangaza kipind cha watoto wetu itv enzi hizo
Video ipo tena nzuri tu. Ktk video kuna sehem wamevaa madera kuna sehemu nyingine wapo beach. Tena kwny video yupo mkk flani anaitwa edy alikua anatangaza kipind cha watoto wetu itv enzi hizo
Sina video, sijui walizifungia mana ukisearch youtube unapata audio. Hta wimbo wao ule kwa sababu gani pia ipo video yake lkn kuipata sasa ndo ishuNami inanijia kumbukumbu Kama hiyo ila Sasa sijui ndo wimbo huu au!! Mkuu iweke Kama unayo..
Mkuu zitafute kabla sijakusema kwa babu akurekebishe uwe panya..😂Sina video, sijui walizifungia mana ukisearch youtube unapata audio. Hta wimbo wao ule kwa sababu gani pia ipo video yake lkn kuipata sasa ndo ishu