Video: Hivi "vetting" hufanyika kweli kabla ya uteuzi wa viongozi? msikilize Kenani Kihongosi akitetea kitendo chake cha kucharaza viboko watu...

Video: Hivi "vetting" hufanyika kweli kabla ya uteuzi wa viongozi? msikilize Kenani Kihongosi akitetea kitendo chake cha kucharaza viboko watu...

Jiulize kwa nini Raisi Magufuli hajatengua uteuzi wake ? Mbona wengine hata kama ni Jumapili au sikukuu utasikia katenguliwa mara moja, maana yake ni kwamba Raisi wa nchi mwenyewe angefanya hivyo hivyo, huyo DC mnamuonea tu lkn aliyewachapa viboko hao Watanzania ni Raisi Magufuli mwenyewe, so sad, unapokuwa na Raisi wa nchi ambaye kwa kawaida anapaswa kulinda na kuwatetea Wananchi yeye ndiye wa kwanza kuonea, kudhalilisha mtu mweusi, Raisi Magufuli atashindwa na hatofanikiwa kama anaonea Watanzania, Mungu atamlaani na kumuadhibu.

Mahakama peke yake ndiyo inayopaswa kuhukumu, kama hao Watanzania walifanya makosa kuna polisi, wangewakamata na kuwafikisha Mahakamani na hukumu kutolewa kwa mujibu wa Sheria zetu, ...
Hahahaaaaa...
Mwana "praise team" ya JPM leo umekosa uzalendo!?
 
Vetting huangalia historia na hutumika kutabiri tu kuwa huyu atatufaa na blaa blaa nyingine ila haijui future itakuwaje. Ndio maana watu hufanyiwa vetting ila baada ya madaraka watu hugeuka.
Hapana Mkuu watu wenye fani zao huwa wanajua future ya mhusika kwa sababu ni process ndefu so huwa wanajua tabia ya mhusika kiundani zaidi
 
Jiulize kwa nini Raisi Magufuli hajatengua uteuzi wake ? Mbona wengine hata kama ni Jumapili au sikukuu utasikia katenguliwa mara moja, maana yake ni kwamba Raisi wa nchi mwenyewe angefanya hivyo hivyo, huyo DC mnamuonea tu lkn aliyewachapa viboko hao Watanzania ni Raisi Magufuli mwenyewe, so sad, unapokuwa na Raisi wa nchi ambaye kwa kawaida anapaswa kulinda na kuwatetea Wananchi yeye ndiye wa kwanza kuonea, kudhalilisha mtu mweusi, Raisi Magufuli atashindwa na hatofanikiwa kama anaonea Watanzania, Mungu atamlaani na kumuadhibu.

Mahakama peke yake ndiyo inayopaswa kuhukumu, kama hao Watanzania walifanya makosa kuna polisi, wangewakamata na kuwafikisha Mahakamani na hukumu kutolewa kwa mujibu wa Sheria zetu, ...
Mkuu 🤣 umeanza kupona.

Au ID inatumiwa na mtu mwingine ?

Maisha yako kasi mnooo
 
View attachment 1653914


Rais John Pombe Magufuli pamoja na kuwa ni aggressive na mkali, lakini hatujawahi kumwona akishika kiboko kucharaza viboko watu hadharani...!!

Rais John Pombe Magufuli pamoja na kwamba hapendi wahalifu na matumizi mabaya ya rasrimali za nchi ikiwemo fedha, lakini hajawahi kuamuru wahujumu uchumi, watakatishaji fedha ama wezi wa mali ya umma wapigwe risasi ama viboko hadharani....

Rais John Pombe Magufuli, huponda na kufokafoka kwa maneno makali na ya kuudhi (sometimes) lakini huamuru uchunguzi kufanyika na hatua za kawaida za kikazi na kisheria kutendeka...

Huyu DC yeye ni nani hasa hata afanye ujinga kama huu? Kwa kweli simuelewi na sijui kama nitamwelewa...!
View attachment 1653943
HAPA JAMAA ANATENDA UJINGA, ANATOA HUKUMU...

Polisi wangekuwa na mtazamo na akili kama za huyu DC, basi mpaka sasa kusingekuwa watu magerezani maana wangekuwa wanahukumiwa papo hapo kwenye tukio...

Jamii hususani watoto wajifunze nini toka kwa kiongozi kama DC huyu anayejitetea kwa ujinga wa matendo yake?....

Je, jamii ijifunze na kuona kuwa kumbe ni sawa watu kujichukulia sheria mkononi kwa wanaowadhania ni "wahalifu" ama "wakosaji" kama alivyofanya DC?..

Kama mtazamo wa DC ndivyo ulivyo, kumbe basi, hakuna haja ya kuwa na mahakama Tanzania..

Baada ya kuona uhalifu huo, kila mtu angetarajia kumuona DC akiamuru watu hao anaodhani ni wahalifu wakipelekwa mahakamani, lakini looh, DC akadhani yuko juu ya sheria na kujiamulia mwenyewe adhabu ya kuwapa....!

Sijui ni kwanini huyu DC mpaka sasa bado yuko ofisini maana amekosa sifa za kuwa kiongozi ktk nafasi hiyo asilani...!!
Yaani nimemsikiliza nimemshangaa sana..!!! HIVI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI NI KWA WASIO NA MADARAKA PEKEE...!!?? Kwa mchezo huu huyu akimkamata mwizi atamuuwa kisa wizi umekatazwa kisheria..

Ametumia muda mwingi kuelezea madawati kuliko kuelezea uhalali wake wa kuchapa watu viboko...!!!
 
Acha wale viboko ujinga ujinga umezidi sana mtaani
Ruhusu ubongo upate oxygen kabla ujaondika mkuu, kwani hakuna sheria za kufata kudeli na huo ujinga unautanabaisha!? Unataka kusema niruksa kiongozi kuchapa raia pindi wanapokosea bira kufuta sheria!? Ushajiuliza ni wame na wazazi wa watu hao walio zalilishwa hapo? Sio kila kitu cha kusapoti mkuu
 
Ila Kama sikosei boss wewe hapo kabla ulikuwa mtu wa kumsifia Magufuli Kila afanyacho...imekuwaje tena hapa unamuombea mabaya!?!!?
Hata mimi nimeshangaa labda kaminywa huko.
Wana CCM wengi wapo huko kimaslahi yakiondolewa wanabadili mwelekeo.
 
Hapana Mkuu watu wenye fani zao huwa wanajua future ya mhusika kwa sababu ni process ndefu so huwa wanajua tabia ya mhusika kiundani zaidi
Most of us have uncertain future how on earth can the mere human being predict it? tena hapa tz?
 
sasa hao wanaonunua chuma chakavu, watanunuaje kiti cha chuma kwa sh 500
si ndio wanafundisha wizi uongezeke, unaambia nizaidi ya 100,000/ sasa hapo hata sign za barabarani zinazoongoza magari watanunua 200/
Mkuu wa Wilaya nimemsifu hapo kuna kipindi acheni tuongozwe na viboko mbele ya wake zetu tutaacha wizi

Nani kakuambia yeye huyo DC siyo mwizi?

Kwa hiyo unataka kutuambia na yeye tukihisi kuna rushwa na ufisadi ktk ofisi yake wananchi tuhamasishane ili kuwashambulia na kuwacharaza viboko wote waliomo ofisini make?..

HAPANA, mambo hayaendi hivyo...!!

Mungu muumba mwenyewe ameweka utaratibu mzuri wa kuhukumu watu wake kwa kuwasikiliza kwanza...

Kamwe hatoi hukumu dhariri na za kutweza utu wa mtu kama huyu DC...

Sisi siyo wanyama tunaoishi kwenye shamba la wanyama (Animal Farm) kwamba, the fittest are the one who survives and the weak perishes...!!
 
Kwa hiyo Mkuu tuendelee kukaa kimya kwakuwa siyo sisi tuliocharazwa viboko hadi pale zamu yetu itakapowadia ndiyo tupige kelele siyo??
Mwanaume unacharazwa vipi viboko na mwanaume mwenzio Ina maana huna hata meno!
 
Yaani nimemsikiliza nimemshangaa sana..!!! HIVI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI NI KWA WASIO NA MADARAKA PEKEE...!!?? Kwa mchezo huu huyu akimkamata mwizi atamuuwa kisa wizi umekatazwa kisheria..

Ametumia muda mwingi kuelezea madawati kuliko kuelezea uhalali wake wa kuchapa watu viboko...!!!

Basically, there's a big problem somewhere in the govt system...

Ndiyo maana serikali na nchi yetu inachafuka kwa sababu ya viongozi mbumbumbu wa taratibu na sheria kama huyu DC..

Sijui kwanini hakuweza kutoa maelezo tu kwa mamlaka za kisheria kuchukua hatua kwa sbb obviously, kama wametenda kosa kweli, wangeamuliwa kulipa fidia ya uharibifu wao...
 
View attachment 1653914


Rais John Pombe Magufuli pamoja na kuwa ni aggressive na mkali, lakini hatujawahi kumwona akishika kiboko kucharaza viboko watu hadharani...!!

Rais John Pombe Magufuli pamoja na kwamba hapendi wahalifu na matumizi mabaya ya rasrimali za nchi ikiwemo fedha, lakini hajawahi kuamuru wahujumu uchumi, watakatishaji fedha ama wezi wa mali ya umma wapigwe risasi ama viboko hadharani....

Rais John Pombe Magufuli, huponda na kufokafoka kwa maneno makali na ya kuudhi (sometimes) lakini huamuru uchunguzi kufanyika na hatua za kawaida za kikazi na kisheria kutendeka...

Huyu DC yeye ni nani hasa hata afanye ujinga kama huu? Kwa kweli simuelewi na sijui kama nitamwelewa...!
View attachment 1653943
HAPA JAMAA ANATENDA UJINGA, ANATOA HUKUMU...

Polisi wangekuwa na mtazamo na akili kama za huyu DC, basi mpaka sasa kusingekuwa watu magerezani maana wangekuwa wanahukumiwa papo hapo kwenye tukio...

Jamii hususani watoto wajifunze nini toka kwa kiongozi kama DC huyu anayejitetea kwa ujinga wa matendo yake?....

Je, jamii ijifunze na kuona kuwa kumbe ni sawa watu kujichukulia sheria mkononi kwa wanaowadhania ni "wahalifu" ama "wakosaji" kama alivyofanya DC?..

Kama mtazamo wa DC ndivyo ulivyo, kumbe basi, hakuna haja ya kuwa na mahakama Tanzania..

Baada ya kuona uhalifu huo, kila mtu angetarajia kumuona DC akiamuru watu hao anaodhani ni wahalifu wakipelekwa mahakamani, lakini looh, DC akadhani yuko juu ya sheria na kujiamulia mwenyewe adhabu ya kuwapa....!

Sijui ni kwanini huyu DC mpaka sasa bado yuko ofisini maana amekosa sifa za kuwa kiongozi ktk nafasi hiyo asilani...!!
SAwa Mahakama, hakimu na magereza, adhabu ya mkoloni tumeipata, MITANI TENA
 
View attachment 1653914


Rais John Pombe Magufuli pamoja na kuwa ni aggressive na mkali, lakini hatujawahi kumwona akishika kiboko kucharaza viboko watu hadharani...!!

Rais John Pombe Magufuli pamoja na kwamba hapendi wahalifu na matumizi mabaya ya rasrimali za nchi ikiwemo fedha, lakini hajawahi kuamuru wahujumu uchumi, watakatishaji fedha ama wezi wa mali ya umma wapigwe risasi ama viboko hadharani....

Rais John Pombe Magufuli, huponda na kufokafoka kwa maneno makali na ya kuudhi (sometimes) lakini huamuru uchunguzi kufanyika na hatua za kawaida za kikazi na kisheria kutendeka...

Huyu DC yeye ni nani hasa hata afanye ujinga kama huu? Kwa kweli simuelewi na sijui kama nitamwelewa...!
View attachment 1653943
HAPA JAMAA ANATENDA UJINGA, ANATOA HUKUMU...

Polisi wangekuwa na mtazamo na akili kama za huyu DC, basi mpaka sasa kusingekuwa watu magerezani maana wangekuwa wanahukumiwa papo hapo kwenye tukio...

Jamii hususani watoto wajifunze nini toka kwa kiongozi kama DC huyu anayejitetea kwa ujinga wa matendo yake?....

Je, jamii ijifunze na kuona kuwa kumbe ni sawa watu kujichukulia sheria mkononi kwa wanaowadhania ni "wahalifu" ama "wakosaji" kama alivyofanya DC?..

Kama mtazamo wa DC ndivyo ulivyo, kumbe basi, hakuna haja ya kuwa na mahakama Tanzania..

Baada ya kuona uhalifu huo, kila mtu angetarajia kumuona DC akiamuru watu hao anaodhani ni wahalifu wakipelekwa mahakamani, lakini looh, DC akadhani yuko juu ya sheria na kujiamulia mwenyewe adhabu ya kuwapa....!

Sijui ni kwanini huyu DC mpaka sasa bado yuko ofisini maana amekosa sifa za kuwa kiongozi ktk nafasi hiyo asilani...!!
SAwa Mahakama, hakimu na magereza, adhabu ya mkoloni tumeipata, MITANI TENA
 
View attachment 1653914


Rais John Pombe Magufuli pamoja na kuwa ni aggressive na mkali, lakini hatujawahi kumwona akishika kiboko kucharaza viboko watu hadharani...!!

Rais John Pombe Magufuli pamoja na kwamba hapendi wahalifu na matumizi mabaya ya rasrimali za nchi ikiwemo fedha, lakini hajawahi kuamuru wahujumu uchumi, watakatishaji fedha ama wezi wa mali ya umma wapigwe risasi ama viboko hadharani....

Rais John Pombe Magufuli, huponda na kufokafoka kwa maneno makali na ya kuudhi (sometimes) lakini huamuru uchunguzi kufanyika na hatua za kawaida za kikazi na kisheria kutendeka...

Huyu DC yeye ni nani hasa hata afanye ujinga kama huu? Kwa kweli simuelewi na sijui kama nitamwelewa...!
View attachment 1653943
HAPA JAMAA ANATENDA UJINGA, ANATOA HUKUMU...

Polisi wangekuwa na mtazamo na akili kama za huyu DC, basi mpaka sasa kusingekuwa watu magerezani maana wangekuwa wanahukumiwa papo hapo kwenye tukio...

Jamii hususani watoto wajifunze nini toka kwa kiongozi kama DC huyu anayejitetea kwa ujinga wa matendo yake?....

Je, jamii ijifunze na kuona kuwa kumbe ni sawa watu kujichukulia sheria mkononi kwa wanaowadhania ni "wahalifu" ama "wakosaji" kama alivyofanya DC?..

Kama mtazamo wa DC ndivyo ulivyo, kumbe basi, hakuna haja ya kuwa na mahakama Tanzania..

Baada ya kuona uhalifu huo, kila mtu angetarajia kumuona DC akiamuru watu hao anaodhani ni wahalifu wakipelekwa mahakamani, lakini looh, DC akadhani yuko juu ya sheria na kujiamulia mwenyewe adhabu ya kuwapa....!

Sijui ni kwanini huyu DC mpaka sasa bado yuko ofisini maana amekosa sifa za kuwa kiongozi ktk nafasi hiyo asilani...!!
SAwa Mahakama, hakimu na magereza, adhabu ya mkoloni tumeipata, MITANI TENA
 
huyu jamaa akifikia hali ya makonda akatupwa nje na kukaa jukwaani na maraia itakuwaaje.....Mimi binafsi ntawafadhili hao jamaa tumfuate tumuhoji kidogo..ilikuwaje?
 
kuchapa viboko ni ishara kua bado jamii yetu iko kwenye primitive stage,in modern days the most human degrading and embarrassing punishment ni kuchapana viboko hadharani.
hata mnawezahimiza viboko viondolewe shuleni.

hamna nia njema nyinyi.
 
Na wewe fanya tu, wengine wataona umefanya ujinga na utakula mboko za waya mbele ya mumeo au mkeo ama watoto wako au dem wako ama baba yako au mama yako!!!!
Mtu mzima na akili zake anaenda iba madawati na viti vya shule, halafu anaaribu rasilimali kisa apate chuma chakavu akauze. (Unaaribu mali ya elfu 50 kisa upate elfu mbili sijui tano).

Wakati wenzake wanapigana kujaribu kila mwanafunzi apate mahala pa kukaa.

Huyo ata watoto wake, mke wake na wazazi wake wakisikia alichofanya watasema baba yao jitu jinga kweli.
 
Back
Top Bottom