Video: Hotuba ya Sugu kwenye msiba wa Mwabulanga yawaacha wana CCM wakijiinamia kwa aibu

Video: Hotuba ya Sugu kwenye msiba wa Mwabulanga yawaacha wana CCM wakijiinamia kwa aibu

Nadhani ni dalili nzuri, kifo ni mawaidha. Ni ukumbusho kuwa hapa duniani tu wasafiri,tutendeane wema katika nyanja zote za maisha.

Iwe kijamii, kisiasa na kidini.Marehemu alikuwa kiongozi wa siasa wa chama pinzani wa kanda, alipitia unyanyasaji mwingi sana na vitisho kwa walio na madaraka na dola. Leo amefariki wanakuja kuongea maneno ambayo walipaswa si tu kuyaongea wakati akiwa hai, bali kumtendea.

Kwa sababu amekufa, hawezi kujibu. Waliokuwa karibu naye akiwa hai wacha waongee na kufikisha ujumbe ambao angelikuwa hai, naye angeufikisha
Ni fitna kila mahala. Acha washuhudie waliolianzisha.
 
Usually the church and government sleep on the same bed 😆😆😆
[/QUOTE]
 
Hakuna mpinzani anaweza kuchakachua matokeo maana hana vyombo vya dola na taasisi za kimamlaka kumsaidia kufanya hilo. Kilichofanyika kwenye uchaguzi ule tumekiona kwa macho yetu. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Kwa hiyo uliamini na kuyakubali matokeo ya 2015; sababu Sugu alishinda; ila sasa hauyaamini matokeo ya 2020 sababu Sugu kashindwa?? Mbona sasa ni kichekesho. Ningekuelewa kama ungeyakataa yote. Ila yakiwa mazuri upande wako; unayakubali - yakiwa mabaya; unayakataa??? Aiseee - naona ni very funny.....
 
Kwa hiyo uliamini na kuyakubali matokeo ya 2015; sababu Sugu alishinda; ila sasa hauyaamini matokeo ya 2020 sababu Sugu kashindwa?? Mbona sasa ni kichekesho. Ningekuelewa kama ungeyakataa yote. Ila yakiwa mazuri upande wako; unayakubali - yakiwa mabaya; unayakataa??? Aiseee - naona ni very funny.....
Kwahiyo ili ujue matokeo ya sasa ni halali lazima kipimo chake kiwe ni uchaguzi uliopita? Unaweza kujenga hoja za utetezi, lakini sio kwa Utetezi wa mfano huu.
 
Pamoja na Udikteta wake kuna kitu Museveni kinamfanya aendelee kutawala Uganda ...., yule mzee kura anaiba kwa akili sana , kama kula na kipofu .....yaani yeye huwa anaiba kura za ushindi tu iwe asilimia 55 hadi 65% hana neno , na anahakikisha kama eneo kila mtu anajua sio strong hold yake ....halazimishi kushinda kura za urais eneo hilo [ sana sana ataiba tu kupunguza margin ya kushindwa ] , kama anafanya rigging basi ni yale maeneo ambayo kila mtu anajua ni "yake " pengine anaongeza margin ya ushindi ....na mwisho anapata average ..
Nimesoma tahariri zinasema hata wapinzani wamepata viti zaidi wakati huuu , ina maana halazimishi wabunge wake kushinda hasa sehemu ambazo NRM haikubaliki ..sana anachojitahidi ni kupata majority tu bungeni mengine halazimishi ....hii inaleta harmony kiasi fulani na kufanya nchi kutawalika ...

Yaani uganda wametushinda hata sisi kwa demokrasia .....hapa kilichotokea ni UJAMBAZI NA UPORAJI wa mchana kweupe hadi maeneo ambayo hata mtoto anajua CCM haipendwi wamelazimisha kutangazwa washindi !
Tanzania ukiondoa Terms limits, tunazidiwa mbali mnooooooooooooooooooo kidemokrasia na Congo, Uganda na Burundi.

Yaani hata Burundi hapo matokeo ya Urais huhojiwa mahakamani.
 
Kwahiyo ili ujue matokeo ya sasa ni halali lazima kipimo chake kiwe ni uchaguzi uliopita? Unaweza kujenga hoja za utetezi, lakini sio kwa Utetezi wa mfano huu.
Basis za 2015 na 2020 ni zile zile..Tume ni ileile...Wapiga kura ni walewale, sana sana wamebadili tu uelekeo kutokana na waliyoyaona huo upande mwingine waliochagua 2015. Hiyo kusema matokeo yamechakachuliwa; kwa kuongea tu kwenye mitandao, tena baada ya kushindwa, it does make any sense. Lete evidence, sema hiki na hiki kimetokea, sehemu fulani na sehemu fulani, na ushahidi ni huu hapa. Lakini watu wanaongea tu, uchaguzi umechakachuliwa, hakuna evidence yoyote, hakuna mazingira yoyote kuonyesha hivyo. Mtu tu anaamua kuongea sababu ameshindwa. Sasa haiwezekani wagombea wote wanaogombea wakashinda...lazima mshindi awe mmoja.
 
Basis za 2015 na 2020 ni zile zile..Tume ni ileile...Wapiga kura ni walewale, sana sana wamebadili tu uelekeo kutokana na waliyoyaona huo upande mwingine waliochagua 2015. Hiyo kusema matokeo yamechakachuliwa; kwa kuongea tu kwenye mitandao, tena baada ya kushindwa, it does make any sense. Lete evidence, sema hiki na hiki kimetokea, sehemu fulani na sehemu fulani, na ushahidi ni huu hapa. Lakini watu wanaongea tu, uchaguzi umechakachuliwa, hakuna evidence yoyote, hakuna mazingira yoyote kuonyesha hivyo. Mtu tu anaamua kuongea sababu ameshindwa. Sasa haiwezekani wagombea wote wanaogombea wakashinda...lazima mshindi awe mmoja.

Huna unalojua zaidi ya kupiga Siasa mfu hapa jukwaani. Angalia chaguzi zote za marudio toka Magufuli ameingia madarakani linganisha na huko nyuma. Tazama kilichotokea wakati wa uchaguzi wa SM, kisha angalia idadi ya wapinzani walioenguliwa kabla ya uchaguzi na sababu zilivyokuwa za kitoto. Ukishajua hayo ufanye majumuisho ya kilichotokea. Ni hivi, ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Tanzania ukiondoa Terms limits, tunazidiwa mbali mnooooooooooooooooooo kidemokrasia na Congo, Uganda na Burundi.

Yaani hata Burundi hapo matokeo ya Urais huhojiwa mahakamani.
Naona Pompeo kasharuka na Barua ya kupiga BAN viongozi wa Tanzania walioharibu uchaguzi kusafiri , na ubaya wa BAN ya US kuna nchi kama EU,CANADA na zingine nao ukishakuwa na BAN ya US kwa huingiii , wao na familia zao ...
Sasa ubaya hawajaweka majina lakini mostly likely watakuwa maafisa waandamizi wa tume , serikali waliohusika na uchaguzi , polisi,jeshi na wengine ambao kwa namna moja au nyingine walihusika ...pengine na wabunge walionufaika na matokeo ya wizi ...ni bora wangeweka majina ili kuwatenga wasiohusika
 
Back
Top Bottom