Video: How Tanzania Harasses Foreign Investors


Serikali ya Kenya ina uwezo na hela za kununulia wananchi wake wanyonge chakula. China kuleta chakula cha msaada ni mapenzi yao, ilhali haikuwa necessary. We were handling the situation on our own.

Lakini kumbuka bongolala ni nchi ambayo ata pesa ya kuwazika waadhiriwa wa msiba wa ferry lazima isaidiwe na jirani Kenya.
 
Mie sijaelewa. Kwani kuna Solar za kuvulia na za Matumizi ya Nyumbani?
 
Any progressive country looks at countries ahead of it not those behind. Why doesnt kenya look at SA, Egypt etc? why the obession with Tz? Its just pure hatred and fear of competition.

Countries first and foremost look at who they share a border with. US is always talking of Mexico and Canada despite them NOT being ahead of it.
Alafu, Tanzanians are the ones obsessed with Kenyans. Genuine people being harassed everyday.
Hapa Kenya we could care less of whether Tanzanians in our country are doing business or not. At the end of the day, we know you are inferior businessmen.
 
eti jeshi la polisi limefanikiwa kumkamata..... ..... Utafikiri anaeongelewa ni jambazi sugu

Vitu zengine waafrika hua ni uzembe ndo utatusumbua tu....
kitu cha kwanza,
1. Nani alimpa leseni ya kuanzisha kampuni hio (manake utapata leseni anayo)
2. Aliruhusiwa vipi kuagizia hayo mataa yote kama hakuwa na leseni ya kuuza hayo mataa?
3. Kama ni hatia kwa wavuvi kutumia mataa usiku kule baharini, Wanaofaa kushikwa ni wavuvi ambao wanavunja hio sheria, sie alie wauzia taa.... Hauwezi kushika muuzaji wa visu wakati mnunuzi ndo alieenda kutumia kisu kuua mtu!!!!
 

SA ministers are always talking about how Kenya's Visa situation will be rectified. Sijui haya yako unatoa wapi?
But still, Kenyans visiting South Africa are not denied. They just have to apply.
 

Sio kweli kwamaba Kenyans wanateseka Tanzania, wapo wanafanya kazi na kumake pesa. Wengi ni wazuri, wengine na wabaya na wezi wa mali na wake za watu. Kama ilivyo kwenu kuna watanzania wazuri na wabaya.

So some of you say we are lazy ati...nyie mnawajibika sio? Haahaa haaa the white man syndrome. Our Kenya as USA of Africa!!! Keep it up Wakikuyu, why cant you learn to be kind from your Jaluo or Luya brothers and sisters

Hongereni kwa kingereza kizuri but let it not make you so arrogant.
 
Kwn we n mchimbaji mitaro..hebu nijuze
 
Nitajie products zenye ziko katika market ya kenya ambazo ni za tz na mm nikutajie zetu tupambanishe...hhhhh
 

Nenda kasome hapa.

https://www.nation.co.ke/news/Tough...-from-Tanzania/1056-4281264-b6cl4i/index.html

 
Ndo maana mnapewa msaada wa chakula!
Msaada wa chakula....hhh...naona juzi tu mlipewa msaada wa flyover...ldc ni ldc tu...wanakomalia ukulima na viwanda vya cherehani...limeni baba pesa iko kenya kila kila mtu na kazi zake si nyie kila mtu anakomaa na ukulima
 
Chema chajiuza, Kibaya chajitembeza.

Hawa jirani zetu wanapenda sifa sana, ingawa sio wakenya wote.

Hivyo wandugu zangu watanzania, wasifuni wakenya wapeni Big up sana. Ni kweli wako mbali sana kimaendeleo, kielimu, kimichezo na hata ktk medani za siasa pia. Hivyo mnapokataa kuwasifu wanaumia sana.

Bravo Kenyans, Bravo Wakikuyu.
 
Dr Kiherehere thinks Kenya gives even one https://jamii.app/JFUserGuide about Tanzania... Hahahaha hahahaha has our president even tried picking the phone to tell your fool a single word? Ah... Nope.. we are too busy working with the rest of the world and not just Rwanda like Fool-i
 
Mie sijaelewa. Kwani kuna Solar za kuvulia na za Matumizi ya Nyumbani?

Hawapendi kutumia kichwa.
Huyo afisa alikuwa ananyanyasa huyo mama, ili apewe rushwa.
Jambo ambalo huwatendekea Wakenya huko Tanzania kila siku.
 
Mbona US inawazuia watu kutoka Mexico na kuwaridisha makwao?. South Africa inawa harras citizens from neighboring countries, Europe inafanya hivyo hivyo kwa raia toka poor countries.

Siku zote raia toka poor countries lazima wawe harassed when they go to other countries which are better off. We treat Kenyans the same ways USA treats Mexicans, the Sana way Europeans treat immigrants from Africa, the same way South Africa treats citizens from neighboring countries. The message is clear, you are not needed in those countries.
 
Stop talking about tribalism here. Who told you that kikuyus own Kenya? There are a lot of tribes in Kenya. I don't understand why you Tanzanians talk of luos and kikuyusonly.It's like me saying that wachang'aa and waspinach are the ones who rule tanzagiza
 

USA deports illigal beggars from Mexico.
Tanzania harasses genuine businessmen from Kenya. Big difference.
Ati they are coming to steal our jobs.

Kama ni mambo na poor country, hawa omba omba wenu wote karibu nusu milioni tungewarudisha huko kwenu leo hii.
 

So you say!! Hujui kabila moja Tanzania. I leave in Kenya, for your information I am part of it. I am tired and sick of this brags and mighty we have...while people are in dire poverty
 
Mbona ana mcheka Magu-Fool-i kilasiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…