never-ending battle
Senior Member
- Jun 22, 2024
- 168
- 123
- Thread starter
- #41
Sahihi kabisaHizi zako ni chuki tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisaHizi zako ni chuki tu
Hao ni maiti hawajui kinachoendelea duniani, hawajui kama kuna DP World, kuuzwa mbuga za wanyama, misitu yetu. Maiti tu hao Erythrocyte hapo ni wapi sijui kama siyo photoshop, basi hao ni maiti kama alivyosema kenyatta
Mama anapendwa mtake msitakeWalimu huongozwa na mwalimu mkuu, vilaza huongozwa na .......
Hakika umemaliza mjadala huyo hana tikiti maji shingoniKichwa boga!
Unaibebesha shingo mzigo wa tikitiki wewe bora ukafa hiyo shingo ikapumzika.
Mimi najitambua ndiyo maana napinga/naandika haya, niko chadema ambao siyo maiti, wanapaza sauti kutetea haki zao.Nawewe pia ni maiti?
Ni kweli kabsa! Apewe Urais wa milele kabsa! Akiona inafaa ampe na bintiye Wanu Hafidh AmeirView attachment 3045019
Hapa Africa nimeshuhudia Marais wengi ila huyu nahisi anapendwa zaidi ya wengine wengi.
Hakika, Sijawahi kuona Rais anagawa Love bites kwa raia wake kama hivi,
"Rais Samia, People do love You Mama"
View attachment 3045019
Hapa Africa nimeshuhudia Marais wengi ila huyu nahisi anapendwa zaidi ya wengine wengi.
Hakika, Sijawahi kuona Rais anagawa Love bites kwa raia wake kama hivi,
"Rais Samia, People do love You Mama"
Naunga mkono hojaUchawa na uchoko haviko mbali sana
Via trust me broo.