Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
AhahaaaNdoa ni kama forex, wanaofaidika ni wanaofungisha ndoa na wanaotoa mafunzo. Nyie mwili mmoja mnabaki mnaviziana miaka yote 😅😅😅
Ndoa ni saccos, ndoa ni kikoba
Umesahau Serikali inapata Kodi kupitia ada za cheti