AhahaaaNdoa ni kama forex, wanaofaidika ni wanaofungisha ndoa na wanaotoa mafunzo. Nyie mwili mmoja mnabaki mnaviziana miaka yote π π π
Ndoa ni saccos, ndoa ni kikoba
AahaaaaBora kikoba kuna faida, ndoa ni kausha damu, ndoa ni kama mkopo wa chup* mkononi πΉ
Mie naona binadamu wanayataka maumivu tuu wenyewe. Hizi mbususu na de liboloz + le kibamias tuwe tunashare bila wivu maisha yatakiwa poa sanaWanaume acheni haya mambo jamani yanaumiza sana!
Mwanaume kazingua mno, kumbe alimleta mchepuko wakafanya ushenzi mbele ya watoto?
Ila nimechekaaaa! Anayoyaongea huyo mwanamke kwa hasira yamenivunja mbavu.
Ule usemi kwamba kati ya watu 3 basi mmoja LAZIMA ana afya ya akili - una ukweli.
Unaweza kuoa ukaweka ndani kumbe dish halisomi.
Huyu ana tatizo la afya ya akiliHata sijui kama ni mkeo utamfanyaje?
View attachment 3039984
Ukiona mtu kaleta mchepuko ndani amekudharau kiwango cha lami. Kuendelea kuishi naye ni kujidhalilisha.We unaona huyo Mme aliyeleta mchepuko ndani dish linakamata channel kweli? Hata zile za free hazionyeshi, zero kabisa.
Na jamaa huenda akaendelea na huyo mchepuko kwa siri Sasa...Halafu hapo baada ya siku mbili tatu wanakaa chini yanazungumzwa yanaisha kisha wanaanza kununua makochi na magodoro mengine. Lol.
Ukiona mtu kaleta mchepuko ndani amekudharau kiwango cha lami. Kuendelea kuishi naye ni kujidhalilisha.
Ahsante kwa ku save mb zanguYaan mke, kakuta mume wake kachepuka ndani wanapoishi. Sijui kakuta sperm,, sasa kanuna kakata godoro, na sofa.
Mnamaind vitu vidogo nyie...kujipa stress zisizo na kichwa wala miguu.Ukiona mtu kaleta mchepuko ndani amekudharau kiwango cha lami. Kuendelea kuishi naye ni kujidhalilisha.
Wote akili zao sio.Ni zaidi ya dharau. Huyo jamaa anashida ya akili. We unaona hadi watoto wameshuhudia hilo tukio unafikiri Kuna kitu hapo?
We una vituko. Unaona sawa mtu mzee wa masikharaMnamaind vitu vidogo nyie...kujipa stress zisizo na kichwa wala miguu.
Baadala ya kupiga threesum unasema amekudharau kiwango cha lami π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Duuh sina neno, wachawi wapoHata sijui kama ni mkeo utamfanyaje?
View attachment 3039984
Kuanzia Mme, Mke na mchepuko wote chungu kimoja.Wote akili zao sio.
Siku hizi nimejiwekea bullet proof kuhusu haya mambo. Nategemea chochote kutoka Kwa yeyote wakati wowote. Siwekei mtu dhamana hata kidogo kulinda moyo wangu Mdogo na mashambulizi ya maradhi yasiyotibika.Ni vile hatuna uwezo wa kuwaadhibu unadhani huyo mwanamke angekuwa na nguvu ya kumchinja huyo mume asingemchinja? Au ingekuwa mwanaume ndo kamfuma mkewe ndani mwake angefanyaje kama sio kuwachinja km kuku nyumba nzima, ni kwa vile mnazo nguvu, sie tunatamanigi hata kuwatafuna ila ndo hata kifinyo hatuezi kuwapa ndo hapo tunaishia kuchepuka au kuwamaliza kimyakimya