Video: Huyu kama ni mkeo utamfanyaje?

Wanaume acheni haya mambo jamani yanaumiza sana!

Mwanaume kazingua mno, kumbe alimleta mchepuko wakafanya ushenzi mbele ya watoto?

Ila nimechekaaaa! Anayoyaongea huyo mwanamke kwa hasira yamenivunja mbavu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyooo raraa reree nani kamsaidia madam kutoa sofa nje? 🤣🤣🤣
ila huyo baba inaonyesha ashajichokea na hiyo ndoa, hajali vitu kuharibika. Ye anaona heri arekodi abaki na ushahidi wa uharibifu
Baharia hana hasara
Bi dada kamwambia akamuambie hawara yake kwamba hana kitu ndani ya nyumba alikuwa anamiliki poumbou tuu 😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…