bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Nyumba ya family gari ya familia sio guest ina maana hata elf 10 ya guest hakuwa nayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume acheni haya mambo jamani yanaumiza sana!
Mwanaume kazingua mno, kumbe alimleta mchepuko wakafanya ushenzi mbele ya watoto?
Ila nimechekaaaa! Anayoyaongea huyo mwanamke kwa hasira yamenivunja mbavu.
Kumpiga mwanamke ni matumizi mabaya ya akiliNa bado watu wanauliza inakuwaje wanapigwa
Yamechoka tuu 😁😂😂 sijaimaliza… yana nini? 🤣🤣
Mfano huyo kwenye clip unamfanyajee?Kumpiga mwanamke ni matumizi mabaya ya akili
Ana tatizo la afya ya akiliHata sijui kama ni mkeo utamfanyaje?!
View attachment 3039488
Mimi hata kama mzinzi mbwa siwezi lala na mbwa kwenye gari au nyumba ya familiaMfano huyo kwenye clip unamfanyajee?
Baharia hana hasaraKwahiyooo raraa reree nani kamsaidia madam kutoa sofa nje? 🤣🤣🤣
ila huyo baba inaonyesha ashajichokea na hiyo ndoa, hajali vitu kuharibika. Ye anaona heri arekodi abaki na ushahidi wa uharibifu
Sasa ndio mpaka akate godoro, si yanazungumzika tu hayo, au waliondoka na tamu yake??? Mapenzi bwana.Yaan mke, kakuta mume wake kachepuka ndani wanapoishi. Sijui kakuta sperm,, sasa kanuna kakata godoro, na sofa.
Mi yamenishinda nimeona niunguze MB tu 😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cna MBs za kuchezea mahi,
Kama ni mabao ya mumewe si ameshayazoea .😂😂 sijaimaliza… yana nini? 🤣🤣
Niliiplay mbele za watu sema nilistuka mapema nimeitega sikioni😁😁😁😁Hata sijui kama ni mkeo utamfanyaje?!
View attachment 3039488
Ndio nimeshangaa, unaharibu mali wakati vitu vidogo hivyo vinazungumzika.Halafu hapo baada ya siku mbili tatu wanakaa chini yanazungumzwa kisha wanaanza kununua makochi mengine na magodoro mengine. Lol.
Anadai wamemchafulia vitu vyakeSasa ndio mpaka akate godoro, si yanazungumzika tu hayo, au waliondoka na tamu yake??? Mapenzi bwana.