video:huyu kavunja rekodi ya kujifukiza hapa corona haitii pua,wabunge ccm wasiojifukiza watoswe kura za maoni


You're preaching to the choir. Nilianzisha uzi kabisa kuhusu health and wellness:

Fitness and wellness - JamiiForums

Aidha naelewa kwanini watu bado hawatilii maanani mambo ya mazoezi, maisha yenyewe tu ya mtanzania wa kawaida ni mazoezi tosha.
 
Hao ni wafanyabiashara wa madini ambao walishazoea madawa toka kwa waganga wa kienyeji kufanikisha biashara zao na wameishazoea hiyo kitu, hata ukiwaelekeza hawawez kukuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Endelea kupiga gym tu huku account inasoma Tsh 1000/=..
Hako kamsukuma kanamiliki hela ndio maana kamiliki confidence pia..

Ukiona mkeo anachepuka eti kaona six pack shukuru na piga talaka 100... Hapo umeoa empy box, mwanamke anayejielewa anapenda mwanaume fighter mwenye mitikasi mingi duniani huku..
 
Mbona mkuu wenye 6 packs wanamegewa sana shida huwa ni nini?
 
Jamaa kakonda ila ni bilionea. Madini, uchawi, Mabasi, Majumba, magreda, mifugo, biashara nzitonzito ni moja ya matajiri wa kanda ya ziwa sasa nyie endeleeni na mapushapu na kunyanyua mavyuma mazitomazito.
 
sawa corona kule ila asubiri IST yake tu kama ataendelea kujifukiza
 
Mkuu Acha kuzalilisha kitambi,, hicho sio kitambi hicho ni kiriba tumbo
 
Huyo ndo msela nondo wa lake zone bana,,full macofidence,
Pesa ipo
Gari zipo
Nyumba zipo
Wake wapo
Kazi ipo
Shida gani?

Hahahahaha kuna jamaa hapo juu anazungumzia 6 packs wakati kajamaa kanapandisha ndege kila bongo movie atamkae anaenda kutafunia Geita..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…