Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Endeleeni kujidanganya, kuna njia nyingi za kufanya mazoezi nyingine unaweza tumia uzito wako wa mwili ukajenga mwili safi kabisa ambao mmekaa kuuona kwenye tv tu mnahisi miili ya models kumbe nyie wenyewe ndo wavivu tu. Fuatilia kuhusu calisthenics uone, mazoezi mengi mno bila kifaa cha gym hata kimoja
You're preaching to the choir. Nilianzisha uzi kabisa kuhusu health and wellness:
Fitness and wellness - JamiiForums
Aidha naelewa kwanini watu bado hawatilii maanani mambo ya mazoezi, maisha yenyewe tu ya mtanzania wa kawaida ni mazoezi tosha.