Nafikri ndiyo maana bilionea anaendelea kuwa bilionea maana kwao wanathamini hata shilingi 100 tu, angenunua lazima aliye muuzia kaweka na faida yake hapo, basi yeye kaona bora hio faida abaki nayo
Nafikri ndiyo maana bilionea anaendelea kuwa bilionea maana kwao wanathamini hata shilingi 100 tu, angenunua lazima aliye muuzia kaweka na faida yake hapo, basi yeye kaona bora hio faida abaki nayo