Pre GE2025 Video: Huyu kijana wa UVCCM ametoa wapi nguvu ya kumkanya Tundu Lissu namna hii? No Reform No Elections inawauma sana CCM

Pre GE2025 Video: Huyu kijana wa UVCCM ametoa wapi nguvu ya kumkanya Tundu Lissu namna hii? No Reform No Elections inawauma sana CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mungu hakukosea kumuacha Lissu awe hai.
Kuna wakati mtu hujiona anaweza kila kitu sababu anao wa kumkingia kifua, anajisahau kuna kesho inakuja nguvu zake hazipo
 
Wakuu,

Nimekutana na hii video clip ya Mjumbe Wa Baraza Kuu La Umoja Vijana Wa CCM Taifa Victor Makundi akizungumzia ajenda ya No Reform No Election ya Tundu Lissu.

Kijana mdogo kama huyu anapata wapi nguvu ya kuiita CHADEMA chama cha Kicoba? Confidence hii anatoa wapi?

===========================================================

Mjumbe Wa Baraza Kuu La Umoja Vijana Wa CCM Taifa Ndug. Victor Makundi amezungumza na vijana wa UVCCM Katika Kambi Maalumu la Vijana Mkoani Kilimanjaro.

Ndug.Mbaraza amewasihi Vijana kuilinda Katiba ya Nchi Yetu, Hasa katika kipindi Hiki tunapoelekea Uchaguzi Mkuu, amesema hayo ikizingatiwa kwamba hivi karibuni Mwenyekiti Wa Chadema Tundu Lissu alitoa matamko ya kutaka kuvunja matakwa ya Katiba Katika Taifa letu ambayo yanahamasisha kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu.

Mbaraza Amewataka Vijana kuhakikisha wanatekeleza Wajibu Wao Wa kutokuvurugwa na Wasaliti Hawa katika Taifa Letu.

Aidha Ndugu Mbaraza Amemuonya Tundu Lissu Lissu na Genge Lake Ya kwamba Swala La Uchaguzi Ni swala la lazima na la kikatiba katika Taifa letu na si takwa la kifamilia, Hivo Uchaguzi Mkuu Wa Mwaka huu Utafanyika.


Akina Makonda wamerudi
 
Hizo ndiyo tamu za Siasa

Upande huu wanatoa hoja hii, upande wa pili wanaitolea kauli ili kuchangamsha majukwaa

Wameona Mzee Wasira amepumzika kidogo
 
Sehemu kubwa ya failure ya elimu yetu ni pamoja na kutowajengea vijana uwezo wa kujibu hoja kwa hoja, badala yake wanajibu hoja kwa mipasho. Kama nchi ni yetu sote, basi tuweke utaratibu mzuri wa kila mtu kushiriki kwenye masuala ya kitaifa bila vitisho, upendeleo na kwa uwazi usiotia mashaka kwa yoyote. Hebu jibuni hoja za Lissu kwa hoja sahihi badala ya makofi na kelele bila kutafakari kwa umakini undani wa hoja zake
Uchaguzi 2025 upo tu whether inyeshe mvua au liwake jua. Hakuna inzi wala mende yeyote wa CHADEMA anaweza kuzuia.

Wanachoweza CHADEMA ni wao kutoshiriki tu
 
Wakuu,

Nimekutana na hii video clip ya Mjumbe Wa Baraza Kuu La Umoja Vijana Wa CCM Taifa Victor Makundi akizungumzia ajenda ya No Reform No Election ya Tundu Lissu.

Kijana mdogo kama huyu anapata wapi nguvu ya kuiita CHADEMA chama cha Kicoba? Confidence hii anatoa wapi?

===========================================================

Mjumbe Wa Baraza Kuu La Umoja Vijana Wa CCM Taifa Ndug. Victor Makundi amezungumza na vijana wa UVCCM Katika Kambi Maalumu la Vijana Mkoani Kilimanjaro.

Ndug.Mbaraza amewasihi Vijana kuilinda Katiba ya Nchi Yetu, Hasa katika kipindi Hiki tunapoelekea Uchaguzi Mkuu, amesema hayo ikizingatiwa kwamba hivi karibuni Mwenyekiti Wa Chadema Tundu Lissu alitoa matamko ya kutaka kuvunja matakwa ya Katiba Katika Taifa letu ambayo yanahamasisha kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu.

Mbaraza Amewataka Vijana kuhakikisha wanatekeleza Wajibu Wao Wa kutokuvurugwa na Wasaliti Hawa katika Taifa Letu.

Aidha Ndugu Mbaraza Amemuonya Tundu Lissu Lissu na Genge Lake Ya kwamba Swala La Uchaguzi Ni swala la lazima na la kikatiba katika Taifa letu na si takwa la kifamilia, Hivo Uchaguzi Mkuu Wa Mwaka huu Utafanyika.


Anafanya kazi vizuri sana huyu jamaa anapigia debe No reform no election
 
Lissu ni mtu mdogo tu mwenye mdomo mkubwa. Anaweza kujibiwa na yeyote isipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Raisi wako alimpa lissu jina la simba wewe huko ikwiriri ulipo angekupa la fisi kabisa.
 
Raisi wako alimpa lissu jina la simba wewe huko ikwiriri ulipo angekupa la fisi kabisa.
Kama ungelisoma Literature in English kama mimi ungelijua kuwa Mh. Rais alitamka hivyo kama "satire"! Maana yake ni

"the use of humour, irony, exaggeration, or ridicule to expose and criticize people's stupidity or vices, particularly in the context of contemporary politics and other topical issues".
Ahahahahaha!!
 
Hivi mtu alisema no reform no election inakuumia Nini . Anasema kwa mtazamo wake sasa wewe unaweweseka . Nijuavyo ni kuwa hamtaki kuona mbinu za udanganyifu wenu zikiwa wazi .
 
Inabidi CHADEMA wa compromise kuingia kwenye uchaguzi huu kwa manufaa ya Chama chao na kurekebisha hali ya siasa nchini
Hukuona kilichofanyika kwenye uchaguzi wa mwaka jana?

1. Wagombea wao karibu wote walienguliwa.
2. Kura feki za ccm kuingizwa vituoni kwa shuruti
3. Washindi wa uchaguzi hawatokani na idadi ya kura - ref: confession ya Nape...


View: https://youtube.com/watch?v=bsMYAk6cWaE&si=6_SZUYhMRMmizD3T


View: https://youtube.com/shorts/4kAdyEwuvD8?si=JLB0VBzgBqwmbI9z
 
Back
Top Bottom