Video: Huyu ndiye Lazaro Samwel Nyalandu

ulikuwa mpango maalum dhidi ya CHADEMA
 
Politician Hawaaminiki Kwani Kwao Kila Kitu Kinawezekana.
 
Anadai Chadema walimteka...kasahau kambi ya watekaji, watesaji na wauaji ilipo!

View attachment 1772746

..Nyalandu alitakiwa atetee hoja yake kwa kunukuu wanazuoni wa CCM na sio kunukuu Biblia.

..haya ni mazoea mabaya sana wamekuwa nayo wanasiasa, na naweza kusema huko ndio kuchanganya dini na siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…