Video iliyomfanya Mange Kimambi amuumbue Wastara alipokuwa akiomba msaada wa Matibabu ya Mguu

MumbaZ

Senior Member
Joined
Jan 28, 2018
Posts
133
Reaction score
124
Mangekimambi: Mgonjwa wenu huyo, December 20 2017 aliposti hii video anakata mauno. Rayvanny akarepost kwake.​

Alivyoanza kulia mguu unamuuma akaifuta hii video fastaaaaa ili watu wasione kuwa wiki moja tu iliyopita kabla hajaanza kulia mguu alikuwa mzima anakata mauno ila ndo hivyo Rayvanny hakuifuta kwake.
Sasa naombeni mjiulize tu jamani, Dec 20 mtu alikuwa anakatika hivi mguu haumii wiki moja baadae anaomba msaada wa kwenda India anasema mguu unatoa nyama anateseka, akasema na mgongo unamuuma mpaka anazimia, huyu ni mgonjwa wa mgongo jamani??? au mgongo ulimuanza baada ya kucheza Makulusa?? . Tena kwenye hii video aliweka na caption ‘Natafuta jasho nikaoge’

Mnaoniona nna roho mbaya acheni ujinga nyinyi, ningekuwa na roho mbaya ningemwaribia kabla hajapokea senti nimesubiri pesa imetimia ndio nimeongea, it means sina tatizo na yeye kupokea pesa tatizo ni kwamba inabidi ukweli usemwe!! Mnishukuru nilikaaa kimya kama sipo mpaka mlipoingia mkenge wote na Rais wenu .

Watu wake wa karibu wameni contact mmoja ni daktari kabisa, wameniambia tatizo alilonalo Wastara ni tatizo very normal kwa waliokatwa mguu, na hilo tatizo ni kwamba Wastara kanenepa sana so mguu wa bandia umekuwa mdogo kwa hiyo akiuvaa Muda mrefu unamchubua mguu na kumpa matatizo mengine, ila mguu wake hauna tatizo kabisaaa, tatizo ni mguu wa bandia only, kinachotakiwa ni kubadilishiwa mguu tu, hata huko India hatofanyiwa operation wala kitu chochote zaidi ya kupewa mguu mpya kitu ambacho hata hapo muhimbili wangemfanyia. Na nimeambiwa mguu wa bandia India ni between dollar 300-500 kwa watu wa kawaida. So wastara atanunua mguu mpya India atafanyia mazoezi basi.Hana complication yoyote ya kumpeleka India na yeye Wastara anajua fika kuwa anachohitaji ni anahitaji mguu mpya tu.​
UPDATE​
Baada ya mimi kuiposti hii video na kusema aliifuta basi Wastara kairudisha video hewani fastaaaAlikuwa kaiweka kwenye archive. Wastara bana, leo utahangaika sana. Acha utapeli! Hizo pesa ulizopata fanya biashara ya maana achana na Viben10 maana ndo hutochangiwa

 
haya mambo nina daktari wangu, nina mwanasheria wangu.... alafu ana kuweka uchi hivi bila kujali misingi ya fani yake na kazi kwa mteja wake...

hii ina weza kuwa ni roho mbaya...
 
Kwaio haiwezekani leo kuwa mzima kesho yake ukawa mbovu? yaani mtu unahoji eti tarehe 20 alikuwa anakata mauono baada ya wiki moja analia anaumwa kama vile kwamba siku 7 ni kidogo sana mtu kuumwa? wafuasi wa mange bana....
 
Kwaio haiwezekani leo kuwa mzima kesho yake ukawa mbovu? yaani mtu unahoji eti tarehe 20 alikuwa anakata mauono baada ya wiki moja analia anaumwa kama vile kwamba siku 7 ni kidogo sana mtu kuumwa? wafuasi wa mange bana....
Lakini mkuu ule ugonjwa ni mwendelezo,

Kama ninkuota nyama maana yake unaanza leo na inawezekana usi-notes

Lakini kwa kipindi hicho kifupi tu haiwezekani kingine kwanini afiche ile video aliyokuwa anacheza?
 
Kwaio haiwezekani leo kuwa mzima kesho yake ukawa mbovu? yaani mtu unahoji eti tarehe 20 alikuwa anakata mauono baada ya wiki moja analia anaumwa kama vile kwamba siku 7 ni kidogo sana mtu kuumwa? wafuasi wa mange bana....
Ishu ni hivi....alipoipost mange kumsema wastara akaifuta kupoyeza ushahidi kumbe watu washaisave mda then wastara akaipost tena
 
Mange kazidi hivi hajawahi kuona leo mtu mzima kesho anafariki? Au huyu mzima kesho anazidiwa mpaka kulazwa ICU

Kinachomuuma mange ni pesa hasa za Rais ndo zinamuumiza sana alitaman wastara azidiwe vibaya ili aje aisimange ccm kwa kumtelekeza

Its true wastara anaweza kuwa mpigaji ila kwann mama usipitwe kaumia sana na kutaka kujionesha yupo juu kwa kila kitu. Pesa pesa tatizo yaan hapo angekua na uwezo angeweza kuja kumtishia wastara skendo yeyote ili tu amnyang'anye hizo pesa
 
Sasa hivi kwa hizi drama hata mtu akupe kibuti haushtuki
Unashtukaje wakati ukiingia mtandaoni nafsi inasuuzika tu.
Maisha si magumu kama wengi wanavyodhani.

Acha tu-enjoy!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…