Machuchu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2017
- 1,260
- 965
Apa mchawi bando tuUnashtukaje wakati ukiingia mtandaoni nafsi inasuuzika tu.
Maisha si magumu kama wengi wanavyodhani.
Acha tu-enjoy!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apa mchawi bando tuUnashtukaje wakati ukiingia mtandaoni nafsi inasuuzika tu.
Maisha si magumu kama wengi wanavyodhani.
Acha tu-enjoy!
wamchangie mke wa sajuki apone ..marehemu anawaona!..au sio ndugu.Alisema eti wamchangie kabla hajafa
Tunasubiri aamke aanze na Joyce Kiria.Huyu mama hapitwi na jambo lolote .
Yule ngosha aliyekimbilia kutoa mil.15 hata hakujiuliza hili swali...kweli wasukuma ndo maana zamani walilipishwa hela na watoto wa mjini kwa kuangalia maghorofa dar!una endaje nje bila report ya daktari...?
Wafuasi wa da'Mange ni misukule....wafuasi wa mange bana....
Mangekimambi ni malaya anauza nyapu Marekani ndo msemaji wa ChademaMange kimambi ndio nani huyu??
Mimi huwa namsikia mwenye kumfaham naomba anijuze tafadhalo
Mangekimambi ni malaya anauza nyapu Marekani ndo msemaji wa Chadema
mange a.k.a dada wa taifa anamambo sana..Dada wa TAIFA amesema amefurahi sana wastara alivyompiga FARU JOHN Mpunga.
Mange kazidi hivi hajawahi kuona leo mtu mzima kesho anafariki? Au huyu mzima kesho anazidiwa mpaka kulazwa ICU
Kinachomuuma mange ni pesa hasa za Rais ndo zinamuumiza sana alitaman wastara azidiwe vibaya ili aje aisimange ccm kwa kumtelekeza
Its true wastara anaweza kuwa mpigaji ila kwann mama usipitwe kaumia sana na kutaka kujionesha yupo juu kwa kila kitu. Pesa pesa tatizo yaan hapo angekua na uwezo angeweza kuja kumtishia wastara skendo yeyote ili tu amnyang'anye hizo pesa
Kwani kuna ajabugani mtuakifurahi Leo kesho akaumwa au akifa?mange kimabi huna huruma wala akili tena huna adabu nilazima ujue wastara ni Msanii hatakama anaumwa anahaki ya kufurahi nakuendeleza usanii wake nisawa nawewe mpumbavu kazi yako michambo kwahiyo hataukiumwa utachamba watu ukiwa kitandani ila ujuwe Leo kwake kesho kwako mana hujui hatma yako unaroho mbaya kushinda mavi kwaheri usonahuruma
Sijawahi kukuona umemsifia Mange we Nyampua binti L. Mlaki. Kuzeekea nyumbani hakujakuacha salama
Hujaelewa mpka hapo kuna utapeli usiioonekana unaendeleaUnataka kusema nn hapa
Achana nao hao wakina magu na wastara wanajuana vizuri sana