Video iliyomfanya Mange Kimambi amuumbue Wastara alipokuwa akiomba msaada wa Matibabu ya Mguu

Huyu mama hapitwi na jambo lolote .
 
Kwani kuna ajabugani mtuakifurahi Leo kesho akaumwa au akifa?mange kimabi huna huruma wala akili tena huna adabu nilazima ujue wastara ni Msanii hatakama anaumwa anahaki ya kufurahi nakuendeleza usanii wake nisawa nawewe mpumbavu kazi yako michambo kwahiyo hataukiumwa utachamba watu ukiwa kitandani ila ujuwe Leo kwake kesho kwako mana hujui hatma yako unaroho mbaya kushinda mavi kwaheri usonahuruma
 
Mange kimambi ndio nani huyu??
Mimi huwa namsikia mwenye kumfaham naomba anijuze tafadhalo
 
Wastara anapeda sana kuonewa huruma sana baada ya miaka mitano ataibuka na lingine atasema wamchangie atajiliza weeeh yule muigizaji kama mlikua amjui kipaji chake[emoji23][emoji23]
 

Sijawahi kukuona umemsifia Mange we Nyampua binti L. Mlaki. Kuzeekea nyumbani hakujakuacha salama
 

Huo mfano wako hata haviendani!!! Toka lini mavi yakawa na roho mbaya!!!!!!!!!!
 
Msaada ukitoka usiujutie ili mradi umetolewa kwa moyo mmoja..kama alidanganya ni yeye na nafsi yake na kama hadanganyi basi iwe hivyo alivyo panga..Tumwacheni mwenyewe na Mungu amsimamie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…