Video: Inasikitisha jinsi Mayele alivyologwa Kigoma vs Ruvu shooting

Video: Inasikitisha jinsi Mayele alivyologwa Kigoma vs Ruvu shooting

Mayele mwenye magoli 12 ndiyo hatari wa kulinganisha na peter shalulile wa the sundowns? Mayele level zake akina george mpole. Kwa dakika alizocheza kama angekuwa hatari alipaswa kuwa na goli 20+

hata kibu denis isingekuwa majeruhi hizo goli angekuwa nazo.
Na aliyokataliwa
 
Timu ya Yanga na Mayele hawaamini katika uchawi kasoro yule mchezaji wa Yanga aliyefukia hirizi Lupaso tu[emoji16]
 
Back
Top Bottom