dadaake
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,125
- 1,108
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kenge wewe huoni kabisa hiyo ni edit..? Kuwa na vichwa Kama hivi ndio maana kila siku tunatozwa tozo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kenge wewe huoni kabisa hiyo ni edit..? Kuwa na vichwa Kama hivi ndio maana kila siku tunatozwa tozo..
Hahah ni mwendo wa technology tu kama miujiza ya Bushiriyani kumbe nikifungua kanisa naweza kupata pesa za chap chap
Mkuu wewe elimu yako ninla ngapiWE
Nani alimuona malaika ni mweupe tuanzie hapo kwanza.Kuna video iko insta kwenye reels ikimuonyesha live malaika mweupe anatoka wingu moja kwenda jingine angani huku watu chini wakipiga mayowe je ni video ya kweli? Inatisha
Pamoja na yote, unaelewa kwamba Malaika ni halisia kama wewe ulivyo halisi?Kenge wewe huoni kabisa hiyo ni edit..? Kuwa na vichwa Kama hivi ndio maana kila siku tunatozwa tozo..
Kuna video iko insta kwenye reels ikimuonyesha live malaika mweupe anatoka wingu moja kwenda jingine angani huku watu chini wakipiga mayowe je ni video ya kweli? Inatisha
Hata kama kwani wananilipia tozo..?Pamoja na yote, unaelewa kwamba Malaika ni halisia kama wewe ulivyo halisi?
Pole sana!. I wish ungejua, umuhimu wao kwako!,. usingesema hayo uliyoyasema.Hata kama kwani wananilipia tozo..?
Nafaidika na nini nao..?
Sioni effect yao mimi namaisha yangu nahangaika na yangu wao nawenyewe Kama wapo wahangaike na yao
Mkuu hebu tusibishane bure watu tuna financial crisis we unakuja kusema malaika hapa! 😬😬😬Pole sana!. I wish ungejua, umuhimu wao kwako!,. usingesema hayo uliyoyasema.
Naskia hizo jezi ukizivaa lazima uvae mask, ni kweli?Ngoja nibadilishe jezi kwanza ndo natoka gym saa hizi
Tangu lini instagram ikaanza kutoa ukweli huo.Kuna video iko insta kwenye reels ikimuonyesha live malaika mweupe anatoka wingu moja kwenda jingine angani huku watu chini wakipiga mayowe je ni video ya kweli? Inatisha