Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jipende sana wewe mwenyewe kuliko kumpenda Mtu mwingine zaidi yako tu.Akubali ukweli kuwa hapendwi, aendelee na maisha mengine
unaweza kutuelimisha ni kivipi huyu jamaa amaekuwa boya? Kwa tafsiri yako nini maana ya neno boya unapolitumia kumuita mtu?🤔🤔 hivi mtu unakuaje boya kiasi hiki
Anyway TU assume ni movie
Sasa itakuajee? [emoji23][emoji23][emoji23]Ina uma hiyo wewe isikie tuu kwa mwingine.
It is life! Inatokezea wakati wowote kwa yeyote noo big deal!Ukisikia janga juu ya janga ndio kama yaliyomkuta jamaa, yani kamfumania mpenzi wake na bado kaambiwa kuwa hapendwi aondoke.
Umeona Sasa?? Hii ndio Wanawake huitafuta, yaan anajipaka upofu wa maumivu kupitia Mbinu ya Kusambaza maumivu.Ina uma hiyo wewe isikie tuu kwa mwingine.
📌🔨USIMPE NAFASI YA MAJIBIZANO.
Mwamba kawa mpole bila kutarajia ila huyo mwanamke sio isee wala hawazi na papuchi kashaitoa kwa mwamba..Ukisikia janga juu ya janga ndio kama yaliyomkuta jamaa, yani kamfumania mpenzi wake na bado kaambiwa kuwa hapendwi aondoke.
Duh double impact 🤣🤣🤣Umenikumbusha kituko cha Jamaa mmoja mwanamke alitoroka kwake mwamba akaenda kumtafuta alivyompata mwanamke akamjibu kuwa hamtaki aendelee na maisha yake
Jamaa akaenda kushtaki polisi akasema wakamsaidie ye anachotaka ni kuondoka na mke wake, polisi nao wakaona anazingua wakamtia vitasa