Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute nyie ndio waliaji wazuri ila humu JF kila mtu ni jasiriMapenzi unalilia?
Rubbish
Utakua umekosea njia Mimi natimua yaan nikikuona mzinguaji siongezi neno juu ya neno, ukitaka kuthibitisha nikabidhi mkeo alafu nikashamkandamiza mwambie anizingue atakusimulia vizuriUkute nyie ndio waliaji wazuri ila humu JF kila mtu ni jasiri
[emoji16][emoji16]Siku hizi nafurahi sana demu akiniambia tuachane
😁😁😁Umenikumbusha kituko cha Jamaa mmoja mwanamke alitoroka kwake mwamba akaenda kumtafuta alivyompata mwanamke akamjibu kuwa hamtaki aendelee na maisha yake
Jamaa akaenda kushtaki polisi akasema wakamsaidie ye anachotaka ni kuondoka na mke wake, polisi nao wakaona anazingua wakamtia vitasa
[emoji16][emoji16]Niwape Siri nayotumia ??
Mimi niliwah umizwa na Demu Mmoja tu nikiwa A-Level .
Na niliumizwa kwakua ulikua mtoto.
Baada ya kuwajua Hawa mademu, nikatambua Siri zao......
Oyaaa ni wao wanaonikimbiliaa na kunigombaniaa..
Nawajibu shits za kutoshaaaa,, sibembelezi ujinga ujinga, ila ndo kwanzaaaaa ..
Wanakuja geto, makondom yalotumikaaa wanayakutaa Ndani, ila ndo wanamiminika .
NAKAZIASiku hizi nafurahi sana demu akiniambia tuachane
Kuna mtego ukiingia mwanamke asipokulinda hakika umekwisha na ikibidi marinda yanaondoka[emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha brother angu alikuwa anakula manzi mmoja hivi kunasiku bro kaenda kwa manzi kapikiwa kakaa anakula kama kwake ghafra mwenyew manzi kaingia anamkuta bro ndani [emoji23][emoji23] bro njaa yote ikakata akasema leo nimekwishaaa mimi Daah sema manzi ikabidi avae roho ya ujasir ikabidi asimame na kumwambia mwambaake kuwa hampendi na hamuitaji tena so aondoke tu
Sema bro alikuja kumuoa yule manzi mbaka leo ndo mkewake wana watoto wawili saivi
Wakamjaza vitasa🤣😆, badala ya kwenda na please.Jamaa akaenda kushtaki polisi akasema wakamsaidie ye anachotaka ni kuondoka na mke wake, polisi nao wakaona anazingua wakamtia vitasa
Nikupe ka hadithi ka Juzi😆🤣
Bro wako ameoa malaya[emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha brother angu alikuwa anakula manzi mmoja hivi kunasiku bro kaenda kwa manzi kapikiwa kakaa anakula kama kwake ghafra mwenyew manzi kaingia anamkuta bro ndani [emoji23][emoji23] bro njaa yote ikakata akasema leo nimekwishaaa mimi Daah sema manzi ikabidi avae roho ya ujasir ikabidi asimame na kumwambia mwambaake kuwa hampendi na hamuitaji tena so aondoke tu
Sema bro alikuja kumuoa yule manzi mbaka leo ndo mkewake wana watoto wawili saivi
Siri namba Moja.[emoji16][emoji16]
Kila kitu unatakiwa ufanye kwa mipaka hakuna haja ya kumjibu mwanamke shit au kumuonyesha kuwa hujali chochote kuhusu yeye mara akute condom zilizotumia hiyo siyo sawa wakati mwanzo ulimtongoza wewe au hata kama alianza yeye .Niwape Siri nayotumia ??
Mimi niliwah umizwa na Demu Mmoja tu nikiwa A-Level .
Na niliumizwa kwakua ulikua mtoto.
Baada ya kuwajua Hawa mademu, nikatambua Siri zao......
Oyaaa ni wao wanaonikimbiliaa na kunigombaniaa..
Nawajibu shits za kutoshaaaa,, sibembelezi ujinga ujinga, ila ndo kwanzaaaaa ..
Wanakuja geto, makondom yalotumikaaa wanayakutaa Ndani, ila ndo wanamiminika .
Make cheke kwanza kipi kilitokea😁😁Nikupe ka hadithi ka Juzi😆🤣
Hili la Kondomu, Kuna huyu Mmoja ana mimba yangu, daah Huwa saingine rohoo ya huruma inaniingia nabaki kumuonea huruma.Kila kitu unatakiwa ufanye kwa mipaka hakuna haja ya kumjibu mwanamke shit au kumuonyesha kuwa hujali chochote kuhusu yeye mara akute condom zilizotumia hiyo siyo sawa wakati mwanzo ulimtongoza wewe au hata kama alianza yeye .
Kama huyo mwanamke katulia anakuheshimu alafu unamfanyia hivyo hiyo siyo sawa kabisa.
Mi binafsi pia huwa siwezi kubembeleza yani mi ndo niwe mtumwa wa mapenzi hiyo kitu siwezi naweka effort 50% hiyo 50 nyingine namuachie yeye , akiamua kuniona fala akaweka 15% hilo penzi linakufa kimasihara
Una swaga za mwamba mmoja , yeye anajiita dating coach , nakubali sana mkuu , vijana wengi hawayajui haya ,wao wanafikiri kulegeza sauti na kupembeleza ndio umwamba.Siri namba Moja.
1-Demu mchukulie kama mwanaume mwenzako tu..
Ivo ukimtongoza, hakikisha umemfanya kipaumbele namba 7 yaaan awe kama sio kitu Cha msingi kwako.( Mpaka awe anajiuliza, upo serious kweli au unataka kupita tu).
Hii maana yake ni kwamba, Unapenda nusunusu kama alivyosema Mama Samia.
Ajiandae kufanyiwa the same thing baadae[emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha brother angu alikuwa anakula manzi mmoja hivi kunasiku bro kaenda kwa manzi kapikiwa kakaa anakula kama kwake ghafra mwenyew manzi kaingia anamkuta bro ndani [emoji23][emoji23] bro njaa yote ikakata akasema leo nimekwishaaa mimi Daah sema manzi ikabidi avae roho ya ujasir ikabidi asimame na kumwambia mwambaake kuwa hampendi na hamuitaji tena so aondoke tu
Sema bro alikuja kumuoa yule manzi mbaka leo ndo mkewake wana watoto wawili saivi