Video: Jamaa kamfumania mpenzi wake na kaambiwa hapendwi

Video: Jamaa kamfumania mpenzi wake na kaambiwa hapendwi

Umenikumbusha kituko cha Jamaa mmoja mwanamke alitoroka kwake mwamba akaenda kumtafuta alivyompata mwanamke akamjibu kuwa hamtaki aendelee na maisha yake

Jamaa akaenda kushtaki polisi akasema wakamsaidie ye anachotaka ni kuondoka na mke wake, polisi nao wakaona anazingua wakamtia vitasa
😁😁😁
 
Niwape Siri nayotumia ??

Mimi niliwah umizwa na Demu Mmoja tu nikiwa A-Level .


Na niliumizwa kwakua ulikua mtoto.

Baada ya kuwajua Hawa mademu, nikatambua Siri zao......

Oyaaa ni wao wanaonikimbiliaa na kunigombaniaa..

Nawajibu shits za kutoshaaaa,, sibembelezi ujinga ujinga, ila ndo kwanzaaaaa ..

Wanakuja geto, makondom yalotumikaaa wanayakutaa Ndani, ila ndo wanamiminika .
[emoji16][emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha brother angu alikuwa anakula manzi mmoja hivi kunasiku bro kaenda kwa manzi kapikiwa kakaa anakula kama kwake ghafra mwenyew manzi kaingia anamkuta bro ndani [emoji23][emoji23] bro njaa yote ikakata akasema leo nimekwishaaa mimi Daah sema manzi ikabidi avae roho ya ujasir ikabidi asimame na kumwambia mwambaake kuwa hampendi na hamuitaji tena so aondoke tu
Sema bro alikuja kumuoa yule manzi mbaka leo ndo mkewake wana watoto wawili saivi
Kuna mtego ukiingia mwanamke asipokulinda hakika umekwisha na ikibidi marinda yanaondoka
 
[emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha brother angu alikuwa anakula manzi mmoja hivi kunasiku bro kaenda kwa manzi kapikiwa kakaa anakula kama kwake ghafra mwenyew manzi kaingia anamkuta bro ndani [emoji23][emoji23] bro njaa yote ikakata akasema leo nimekwishaaa mimi Daah sema manzi ikabidi avae roho ya ujasir ikabidi asimame na kumwambia mwambaake kuwa hampendi na hamuitaji tena so aondoke tu
Sema bro alikuja kumuoa yule manzi mbaka leo ndo mkewake wana watoto wawili saivi
Bro wako ameoa malaya
 
[emoji16][emoji16]
Siri namba Moja.

1-Demu mchukulie kama mwanaume mwenzako tu..
Ivo ukimtongoza, hakikisha umemfanya kipaumbele namba 7 yaaan awe kama sio kitu Cha msingi kwako.( Mpaka awe anajiuliza, upo serious kweli au unataka kupita tu).

Hii maana yake ni kwamba, Unapenda nusunusu kama alivyosema Mama Samia.
 
Niwape Siri nayotumia ??

Mimi niliwah umizwa na Demu Mmoja tu nikiwa A-Level .


Na niliumizwa kwakua ulikua mtoto.

Baada ya kuwajua Hawa mademu, nikatambua Siri zao......

Oyaaa ni wao wanaonikimbiliaa na kunigombaniaa..

Nawajibu shits za kutoshaaaa,, sibembelezi ujinga ujinga, ila ndo kwanzaaaaa ..

Wanakuja geto, makondom yalotumikaaa wanayakutaa Ndani, ila ndo wanamiminika .
Kila kitu unatakiwa ufanye kwa mipaka hakuna haja ya kumjibu mwanamke shit au kumuonyesha kuwa hujali chochote kuhusu yeye mara akute condom zilizotumia hiyo siyo sawa wakati mwanzo ulimtongoza wewe au hata kama alianza yeye .

Kama huyo mwanamke katulia anakuheshimu alafu unamfanyia hivyo hiyo siyo sawa kabisa, ni laana mzee , machozi ya mwanmke /mwanaume kwenye mahusiano huwa yanaacha laana siyo utani

Mi binafsi pia huwa siwezi kubembeleza yani mi ndo niwe mtumwa wa mapenzi hiyo kitu siwezi naweka effort 50% hiyo 50 nyingine namuachie yeye , akiamua kuniona fala akaweka 15% hilo penzi linakufa kimasihara
 
Kila kitu unatakiwa ufanye kwa mipaka hakuna haja ya kumjibu mwanamke shit au kumuonyesha kuwa hujali chochote kuhusu yeye mara akute condom zilizotumia hiyo siyo sawa wakati mwanzo ulimtongoza wewe au hata kama alianza yeye .

Kama huyo mwanamke katulia anakuheshimu alafu unamfanyia hivyo hiyo siyo sawa kabisa.

Mi binafsi pia huwa siwezi kubembeleza yani mi ndo niwe mtumwa wa mapenzi hiyo kitu siwezi naweka effort 50% hiyo 50 nyingine namuachie yeye , akiamua kuniona fala akaweka 15% hilo penzi linakufa kimasihara
Hili la Kondomu, Kuna huyu Mmoja ana mimba yangu, daah Huwa saingine rohoo ya huruma inaniingia nabaki kumuonea huruma.

Sema ndo Ivo inatokea tu.m..utasikia"" G jamaan usinifanyie hivoooo " 😓

Hamnaa , pengine nayeye ananitafutia siku aniumizee.

MADEMU wa siku hizi ni MAGAIDI.


WATU MNATAKIWA KUFAHAM KUA, HIKI KIZAZI NI KIZAZI CHA NYOKA.
 
2- Hakikisheni Uchumi umetulia , sio lazima utulie Kwa kiwango Cha Akina Ridhiwani , ila tu utulie,, alafu hapohapo UHAKIKISHE HUMPATI MWANAMKE KWA KUHONGA YAAN UTUMIE PESA YAKO KUMVUTIA.
 
Siri namba Moja.

1-Demu mchukulie kama mwanaume mwenzako tu..
Ivo ukimtongoza, hakikisha umemfanya kipaumbele namba 7 yaaan awe kama sio kitu Cha msingi kwako.( Mpaka awe anajiuliza, upo serious kweli au unataka kupita tu).

Hii maana yake ni kwamba, Unapenda nusunusu kama alivyosema Mama Samia.
Una swaga za mwamba mmoja , yeye anajiita dating coach , nakubali sana mkuu , vijana wengi hawayajui haya ,wao wanafikiri kulegeza sauti na kupembeleza ndio umwamba.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha brother angu alikuwa anakula manzi mmoja hivi kunasiku bro kaenda kwa manzi kapikiwa kakaa anakula kama kwake ghafra mwenyew manzi kaingia anamkuta bro ndani [emoji23][emoji23] bro njaa yote ikakata akasema leo nimekwishaaa mimi Daah sema manzi ikabidi avae roho ya ujasir ikabidi asimame na kumwambia mwambaake kuwa hampendi na hamuitaji tena so aondoke tu
Sema bro alikuja kumuoa yule manzi mbaka leo ndo mkewake wana watoto wawili saivi
Ajiandae kufanyiwa the same thing baadae
 
Back
Top Bottom