Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Dalali ali taka kuji milikisha nyumba, isiyo yake😆🤣Make cheke kwanza kipi kilitokea😁😁
Demu namtongoza mguu nje-ndani alafu napotea tukikutana sina shobo busy na mambo yangu, mwisho wa siku anasema acha ajijaze mwenyewe paaa .. akijaa ni dudu napita hivi *****.Siri namba Moja.
1-Demu mchukulie kama mwanaume mwenzako tu..
Ivo ukimtongoza, hakikisha umemfanya kipaumbele namba 7 yaaan awe kama sio kitu Cha msingi kwako.( Mpaka awe anajiuliza, upo serious kweli au unataka kupita tu).
Hii maana yake ni kwamba, Unapenda nusunusu kama alivyosema Mama Samia.
Hio michezo ipo mingi sana.🤔🤔 hivi mtu unakuaje boya kiasi hiki
Anyway TU assume ni movie
Hakuna kitu kama hichoUmeona Sasa?? Hii ndio Wanawake huitafuta, yaan anajipaka upofu wa maumivu kupitia Mbinu ya Kusambaza maumivu.
Kwa mbinu hii, WANAUME WASHENZI WAJINGA, WAMEWASAMEHE MADEMU ZAO ,TENA WAKIWAAHIDI , NINAKUAHIDI NITAKUFURAHISHA MWANAMKE WANGU
FactDon't beg to be loved
Formula ni ile ile ukichukua mke wangu marinda yako ni mali yangu na utakua mke mwenzieUtakua umekosea njia Mimi natimua yaan nikikuona mzinguaji siongezi neno juu ya neno, ukitaka kuthibitisha nikabidhi mkeo alafu nikashamkandamiza mwambie anizingue atakusimulia vizuri