digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Kiongozi alitakiwa kureact kwa namna ile?Hamjui hata chanzo halisi mko kumjudge
Utakuwa mwanamke ila bado hujajitambua tu.Mimi ni mwanaume lakini huwa napata tabu sana ya kuwaelewa wanaume wenzangu kuhusu mwanamke akifanya kosa kwenye nyadhifa yake.Wengi wa wanaume wana nasibisha kosa hilo na jinsia lakini kosa akifanya mwanaume hakuna anaye nasibisha na jinsia yake.
Ni mfumo dume au inferiority complex kwa baadhi ya wanaume?
Wahuni wote peponikuna umuhimu wa waandaji wa shughuli kuhakikisha sio kila mtu anaweza kufikia podium na kumpa memo mzungumzaji
kuna Mwaka wakati wa Mkapa kuna Muhuni alipanda ghafla kabla msoma risala hajaanza kusoma akabadilishiwa risala, naye akahisi yale mabadiliko labda ndio baada ya kuhaririwa Ikulu maana kabla ya kusoma Hotuba huwa zinapelekwa kule ili Rais asiwe surprised.
kilichotokea ikawa heka heka kila Mtu anashangaa, lakini Maskini ya Mungu Mzee yule Mungu Amrehemu alipogundua wahuni sio watu akaktisha kwa kutafuta maneno ya Hikma na akamwambia Mh.Rais kuwa sio lazima ajibu hoja zile pale , wao wana imani na Serikalk na watapatiwa majibu hata baadae
Mzee Mkapa kwa umakini na werevu wake akajua wahuni sio watu akasimama na akajibu vyema sana na wengi tukaridhika
Tujitahidi kuwapa good sex majumbani ili waende kazini wako relaxedHawa wanawake wanafanya sana kazi kwa stress. Unakuta ofisini full visirani, attitudes za ajabu na makasiriko. Sasa bora ametumbuliwa, akapeleke stress zake kwa familia yake, pumbavu
Siasa na uongozi hauko hivi unavyotaka wewe.Ndio maana ya neno itifaki imezingatiwa..tuwe wakweli, wewe ulishaona habari ya vimemo hata tu kwenye mikutano ya wakuu wa nchi EAC..? hivi asipotajwa mtu kwenye utambulisho kunapunguza nini kwenye tukio..kwa mtu aliyeelimika na anaishi kulingana na dhamira yake, kutotambuliwa uwepo wako ni jambo dogo sana..mtambue mtu kwa matendo mema na si kwa kutaja jina km unavyoeleza hapa.
Exactly matukio ya kiserikali protocol zake ni muhimu kuzifuata.Nikuelimishe kitu kidogo;
#Kwenye Itifaki hakuna kutambua watu kwa kutamka maneno "Itifaki imezingatiwa"
# Kwenye Itifaki kutotambua kwa kumtaja inaleta sana shida.
Hivyo, kwa kuitolea maelezo hoja yako ..pale inavyoonekana mlolongo wa watambulishwa ni ndefu...badala ya kutumia maneno ya " Itifaki imezingatiwa" wakati wa kufunga utambulisho tumia maneno haya" Mabibi na Mabwana".
Kumbuka tu kwamba hivi vitu viko rasmi na haviko tu kiholela.
Amesoma UDSM (UCLAS enzi hizo)Huyu mama ni kabila gani?Si kwa dharau hizi.Kwanza kasomea nini?Ukute ana.degree ya Chupi.Hiyo uhandisi alisomea wapi?
Kichwani amejaza mikimba tuKiburi tuu. Kakosa kujisusha.
Sisi Ni wabantu Kuna majina tuna share.Hata majina ya wapare huko kwenu huyajui? Huyu ni mhaya.
WANAWAKE kadhaa nimewahoji, katika mazungumzo wanasema mwanamke anapokuwa kwenye meno-pause[kukoma hedhi] wanakuwa na hasira na visirani na mtume MSW alitambua hilo na kukataa katu kumpa mwanamke uongozi kukaa mbele za wanaume.View attachment 2721390
Imbainika kuwa kuwa chanzo cha Rais Samia kutengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji ni kitendo cha kuonesha kiburi, dharau na kutoa lugha za kejeli kwa mfanyakazi wa Wizara hiyo aliyeenda kwenye Podium wakati akiwa anazungumza na kumpa 'Kinote'.
Jambo hilo lilionekana kumkasirisha Katibu Mkuu Nadhifa Kemikimba na akaamua kukatisha hatuba yake na kwenda kukaa.
Muda mfupi baadaye Waziri wa Maji alisogea kwenye Podium na kumuomba radhi Katibu Mkuu.
Yeye katibu tena mwanamkeHuyu hastahili kuwa kiongozi. Mbona kuletewa ki note wakati unazungumza ni jambo la kawaida sana? Wanaletewa vi note hati kina Bidden, Trump na Obama? sembuse yeye? Yeye nani?
Hasira hasara,angekitunza then akitoka hapo aka dili na aliyemletea hicho kimemo kimya kimya mpaka akome.Ni kweli Viongozi wengi hupelekewa vikaratasi vyenye jumbe mbalimbali lakini Nafikiri Huyo Mama Alipelekewa kikaratasi chenye Ujumbe wa Dharau ambao hakuweza Kuvumilia, Ndio Maana Akakitupa. Huyo aliye andika huweenda aliwaambia na wenzie, So Kibinadamu mtu akikuonesha Dharau mbele za Watu hutakiwi kuwa Mnyonge katika Process ya Ku react na Kujipa Confidence unatakiwa kumonesha Dharau Mara mbili ya Ile Aliyo kuonesha, Tumeona Kipindi Cha Magufuli alikuwa Hakubali mambo Ya Kijinga anamaliza pale Pale.
Je kuna mwenyewe anajua Nini Kiliandikwa kwenye Hicho Kimemo? Kosa Kubwa Ingekuwa kama Amepelekewa Kimemo hajakisoma na Kamlipua mpelekaji lakini kakisoma kaona kwa Level yake na Level ya Mtu aliyempeleka ni Kudharirishwa.
Haina Tofauti na Alicho Kifanya RC CHALAMILA KULE SOKONI [emoji120]
Hujawahi kuwa Kiongozi ndio maana inasema hivyo.Utamaduni wa kupeleka kimemo wakati mtu anaongea ni wa kijinga ni km unamfundisha aongee nini..mwache mtu aongee yake aliyopanga, km atakosea au kusahau yote hiyo ni juu yake! Hata ule utamaduni wa kutembeza vimemo bungeni ni wa hovyo..kila mtu yupo hapo kusema anachojua yeye ni sawa na si kusema kutokana na memo umeletewa na mwingine..hakuna bunge au kikao cha aina hiyo nchi zingine kutembeza vimemo muda wote wakat wa kikao..hayo ni maigizo hakuna kikao hapo!
Dah sorry sorry ni kweli mkuu kabisa sie wabantu iko hivyo. Nilipitiwa. Nisamehe mkuuSisi Ni wabantu Kuna majina tuna share.
Anyway. Thanks mzee wa rubisi.