Video: Je, hiki ndio kimesababisha Kemikimba, Katibu Mkuu Wizara ya Maji kutenguliwa?

Mhayaa yulee itakuwaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa iko hivi; kama unaongea kabla ya muongeaji Mkuu/Mgeni Rasmi hutakiwwi kuwa mzungumzaji sana maana unaweza kuongea yale yote ambayo muongeaji Mkuu anakwenda kuzungumza na kwa kufanya hivyo inakuwa hakuna maana ya
Hujui kimemo kilisema nini, tuache kubwabwaja tu by guesswork. Unaanza sentensi zako na "iko hivi" kama mkufunzi anatoa lecture wakati hujui lolote la kilichoandikwa kwenye ki note. Stop the blind and senseless guesswork!
 
Never set precedent for insurbodination,
Insurbodination should be punished severely on the spot.
Leaders are not supermen,! They have felings, and emotions, they may loose temper now and then,
Don't treat them as robbot!
Subordinates should know their place not to embarrass their bosses.
 
... who was fired at last? The subordinate or the supervisor?
 
Fedhea na maumivu has kwa kipindi hiki wamama wanapewa nafasi za uongozi badala ya kuonyesha wanaweza, wanaonyesha ujinga wa Hali ya juu ktk uongozi... Let me tell u woman leaders, mnapopewa uongozi misitake kuonyesha mnanguvu kuliko wanaume... Maana wengi wenu huwa anaona raha kama mkionyesha hamuogopi wanaume ili mthibitiwe mnaweza, ujinga wa inferiority complex. Siku zote tambua uko juu sio vile unajua yote ila umeaminiwa kuongoza wenzio huenda wenye uwezo kuliko wewe. Heshimu, wapende na shirikiana nao... Utafanikiwa na sifa zitakuja kwako kirahisi kuliko kuonyesha ujuaji. Huyu mama hafai kabisa kwenye uongozi... Akae kwenye dawati wala asiongoze hata mtu mmoja...
 
Shame on you, being a boss doesn't mean you should not be criticised or corrected. Can't you see the subordinate showed a huge respect by sending her a memo? There is no excuse of not been respectful and responsible, if she didn't like what was written, should hold on and talk to them separately,.. Shame on her...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…