Video: Je, hiki ndio kimesababisha Kemikimba, Katibu Mkuu Wizara ya Maji kutenguliwa?

Video: Je, hiki ndio kimesababisha Kemikimba, Katibu Mkuu Wizara ya Maji kutenguliwa?

Nachompendeaga Mhe. Makongoro Nyerere hivyo vimemo uwa anapewa sana akiwa jukwaani hata mbele ya Rais. Utamsikia "naona hapa nimeambiwa muda umekwisha sasa namalizia la mwisho kabisa" then watu wanacheka....anaendelea Ha ha ha!

Busara tu hutumika. Kimemo siyo dharau ni kwamba kila kitu kinakwenda kwa muda. Hata Rais upewa vimemo kujulishwa iwe muda au nini. Na utii. Kuwa na cheo kikubwa si wewe kuwa juu ya kila kitu. Ni vizuri kuwasikiliza hata ulowaamini walio chini yako.

Pole Katibu Mkuu, hasira hasara!
Mhayaa yulee itakuwaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa iko hivi; kama unaongea kabla ya muongeaji Mkuu/Mgeni Rasmi hutakiwwi kuwa mzungumzaji sana maana unaweza kuongea yale yote ambayo muongeaji Mkuu anakwenda kuzungumza na kwa kufanya hivyo inakuwa hakuna maana ya
Hujui kimemo kilisema nini, tuache kubwabwaja tu by guesswork. Unaanza sentensi zako na "iko hivi" kama mkufunzi anatoa lecture wakati hujui lolote la kilichoandikwa kwenye ki note. Stop the blind and senseless guesswork!
 
The issue is not about the content or context of the memo but the place and reaction after receiving it!

No matter kimemo kilikuwa na habari za kukera kwa kiwango gani; hakutakiwa ku-behave vile, pale, wakati ule, mbele ya wale!

Right things, at the right time, and right place! Amekwama kwenye hilo.

Kiongozi hatakiwi kuchokozeka kijinga tena hadharani!
Never set precedent for insurbodination,
Insurbodination should be punished severely on the spot.
Leaders are not supermen,! They have felings, and emotions, they may loose temper now and then,
Don't treat them as robbot!
Subordinates should know their place not to embarrass their bosses.
 
Never set precedent for insurbodination,
Insurbodination should be punished severely on the spot.
Leaders are not supermen,! They have felings, and emotions, they may loose temper now and then,
Don't treat them as robbot!
Subordinates should know their place not to embarrass their bosses.
... who was fired at last? The subordinate or the supervisor?
 
View attachment 2721390
Imbainika kuwa kuwa chanzo cha Rais Samia kutengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji ni kitendo cha kuonesha kiburi, dharau na kutoa lugha za kejeli kwa mfanyakazi wa Wizara hiyo aliyeenda kwenye Podium wakati akiwa anazungumza na kumpa 'Kinote'.

Jambo hilo lilionekana kumkasirisha Katibu Mkuu Nadhifa Kemikimba na akaamua kukatisha hatuba yake na kwenda kukaa.

Muda mfupi baadaye Waziri wa Maji alisogea kwenye Podium na kumuomba radhi Katibu Mkuu.
Fedhea na maumivu has kwa kipindi hiki wamama wanapewa nafasi za uongozi badala ya kuonyesha wanaweza, wanaonyesha ujinga wa Hali ya juu ktk uongozi... Let me tell u woman leaders, mnapopewa uongozi misitake kuonyesha mnanguvu kuliko wanaume... Maana wengi wenu huwa anaona raha kama mkionyesha hamuogopi wanaume ili mthibitiwe mnaweza, ujinga wa inferiority complex. Siku zote tambua uko juu sio vile unajua yote ila umeaminiwa kuongoza wenzio huenda wenye uwezo kuliko wewe. Heshimu, wapende na shirikiana nao... Utafanikiwa na sifa zitakuja kwako kirahisi kuliko kuonyesha ujuaji. Huyu mama hafai kabisa kwenye uongozi... Akae kwenye dawati wala asiongoze hata mtu mmoja...
 
Never set precedent for insurbodination,
Insurbodination should be punished severely on the spot.
Leaders are not supermen,! They have felings, and emotions, they may loose temper now and then,
Don't treat them as robbot!
Subordinates should know their place not to embarrass their bosses.
Shame on you, being a boss doesn't mean you should not be criticised or corrected. Can't you see the subordinate showed a huge respect by sending her a memo? There is no excuse of not been respectful and responsible, if she didn't like what was written, should hold on and talk to them separately,.. Shame on her...
 
Back
Top Bottom