Video: Jinsi makombora ya Iran yanadunguliwa juu ya eneo takatifu Duniani kwa Wakristo, Waislamu na Wayahudi

Wewe ni kenge tuuuu, unaueogopa
 
Ogopa sana mtu anayekuambia vitu kwa asilimia 99, huwa ni waongo sana. Kuna article zinatofautiana mara aseme 94, mara 97, mara drone 300 mara 200 mara 500 yani uongo uongo tu hawa Israhell
Kwanza walisema Iran hakupiga base yao, jana wamekiri nakuonyesha eti wanarepaired damage wametafuta sehemu ilio kuwa haikudhurika sana ili wa records wanaitengeneza 😄
 
Ogopa sana mtu anayekuambia vitu kwa asilimia 99, huwa ni waongo sana. Kuna article zinatofautiana mara aseme 94, mara 97, mara drone 300 mara 200 mara 500 yani uongo uongo tu hawa Israhell
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…