Video: Jinsi makombora ya Iran yanadunguliwa juu ya eneo takatifu Duniani kwa Wakristo, Waislamu na Wayahudi

Video: Jinsi makombora ya Iran yanadunguliwa juu ya eneo takatifu Duniani kwa Wakristo, Waislamu na Wayahudi

IMG_20240414_044943.jpg
 
😄 hamna lolote kapigika sawa sawa kwani Iran haoni kule kwake kama Missiles zake zimefika kwenye target, au hazijafika, si kila anacho ongea Israel mumuamini inatosha drama za Al Shifaa Hospital
IMG_20240414_044943.jpg
upo jf unasema Israel kapigika,mhusika anakuambia hakuna kitu 😄😄
Ngoja tukuamini wewe,kapigika kweli kweli
 
"Iran imesema" Yaani mumekosa hata muislamu mmoja Israel mwenye simu aonyeshe walau kombora moja kati ya hizo 500 likipiga sehemu yoyote Israel.
Hii ni aibu kubwa sana kwa waislamu.
Israel anazuia Media zisichukue sehemu walizo pigwa, eti aibu ikiwa US anakiri eti madhara c makubwa vile 😄

Watakiri wamepigwa vibaya c aibu kwao, haya c anajidai atalipa tuone sababu Iran kamuambia asisubutu atajuta maisha yake kwa kipigo atakacho pondwa, akigusa Iran.
 
View attachment 2962851upo jf unasema Israel kapigika,mhusika anakuambia hakuna kitu 😄😄
Ngoja tukuamini wewe,kapigika kweli kweli
We wacha na propoganda za Mossad inatosha uwongo wao eti Al Shifaa Hospital ndio base ya Hamasi 😄

Israel hawezi kukiri kapigika vibaya lazima akanushe, sababu hata asipo revenge wasema hakuzurika na chochote kile.
 
We wacha na propoganda za Mossad inatosha uwongo wao eti Al Shifaa Hospital ndio base ya Hamasi 😄

Israel hawezi kukiri kapigika vibaya lazima akanushe, sababu hata asipo revenge wasema hakuzurika na chochote kile.
Sawa mtaalamu wa kivita kutoka Buza
Una intelegensia kali kupitia simu yako ya tekno
Unajua sana
 
View attachment 2962829
Kwa hiyo target ya Iran ilikuwa ni kumjeruhi huyo mtoto smbaye amejeruhiwa na manaki ya kombora lililoharibiwa?
Maana mpaka sasa makombora yote yaliyorushwa ndiyo yalichoambulia.
Ngoja apigwe na robo tu ya makombora aliyorusha uone kama Tehran inaenda kusimama.
Ilitafutwa tu sababu ayarusha yeye mwenyewe na moja kwa moja kutoka nchini mwaka na ameingia mazima.
Hapa naona ni kama US na Israel walitafuta sababu ya kumshambulia Iran naona kama wamechoka kupambana na wapambe wake yaani Hamas, Hought na Izbulaah ambao ni kama Iran hapati athari za vita za moja kwa moja sasa na yeye ataenda kuonja athari za vita na hapo baada ya vita ndipo kunaweza kuwa na amani ya kudumu middle East. Ilikuwa ni ngumu kutokomeza hivi vikundi vitatu bila kudeal moja kwa moja na anaye watuma na kuwadhamini.
 
Hapa naona ni kama US na Usrael walitafuta sababu ya kumshambulia Iran naona kama wamechoka kupambana na wapambe wake yaani Hamas, Hought na Izbulaah ambao ni kama Iran hapati athari za vita za moja kwa moja sasa na yeye ataenda kuonja athari za vita na hapo baada ya vita ndipo kunaweza kuwa na amani ya kudumu middle East. Ilikuwa ni ngumu kutokomeza hivi vikundi vitatu bila kudeal moja kwa moja na anaye watuma na kuwadhamini.
Iran akipigwa mashambulio mawili tu pale Tehran utawala unaanguka inakuwa mwisho wa Ayatollah. Si Israel wala US wenye shida na Iran kama nchi au wananchi wake, bali wanayemtaka ni huyo aayatollah tu.
 
Iran akipigwa mashambulio mawili tu pale Tehran utawala unaanguka inakuwa mwisho wa Ayatollah. Si Israel wala US wenye shida na Iran kama nchi au wanamchi wake, bali shida ya ni huyo aayatollah tu
Safari hii Ayatollah anaenda kupinduliwa

Joto ndani ya Oran ni kubwa watu hawataki utawala wake wa nguvu ya chuma ya sharia za kiislamu anataka taifa huru la kidemokrasia ya nchi za magharibii

Israel na marekami wakianza kushambulia Iran na waasi wanaanza mashambulio ndani ya Iran
 
Iran inasema makombora yake yamefanikiwa kupiga targets ndani ya Israel lakini haijathibitisha ni uharibifu kiasi gani umesababishwa na makombora na drones yaliyopiga targets!
Ni kama mwaka ule hapa kwetu kila kitu walisema BIG RESULTS NOW
 
Mshukuru sana sayansi ya Israel imeweza kulinda hilo eneo lenu ambalo huwa mnaliamini sana tena kwa mizuka...

Surreal images of Israel's Iron Dome intercepting Iranian drones and missiles over Temple Mount in Jerusalem--the holiest place in the world for Christians, Jews and Muslims.


View: https://twitter.com/alexsalvinews/status/1779293386601566442

Hilo ni jengo la wayahudi waislam Msikiti wao upo pembeni hauna likichuguu linalong'aa na hilo ndio tatizo tumeaminishwa hivyo kuwa ndio jengo la Msikiti ili siku Msikiti halisi ikivunjwa tuukatae bahati mbaya hatupotezwi
 
Mshukuru sana sayansi ya Israel imeweza kulinda hilo eneo lenu ambalo huwa mnaliamini sana tena kwa mizuka...

Surreal images of Israel's Iron Dome intercepting Iranian drones and missiles over Temple Mount in Jerusalem--the holiest place in the world for Christians, Jews and Muslims.


View: https://twitter.com/alexsalvinews/status/1779293386601566442

Hawa wandugu wangeusitiri uchi wao ila ndio hivyo, hawana akili. Bora wangeendelea kuwa pirates.
 
Back
Top Bottom