Video: Jinsi makombora ya Iran yanadunguliwa juu ya eneo takatifu Duniani kwa Wakristo, Waislamu na Wayahudi

Wewe inazungumzia Iran kutest nuclear wakati Israel ana super nuclear imetulia hapo kwake, hizi ni akili za wapi?
 
Tuwaombe Mungu astopishe hii vita Allah tusaidie Vita isiéndelee
 
We wacha na propoganda za Mossad inatosha uwongo wao eti Al Shifaa Hospital ndio base ya Hamasi 😄

Israel hawezi kukiri kapigika vibaya lazima akanushe, sababu hata asipo revenge wasema hakuzurika na chochote kile.
Sidhani kama Israel ni mjinga kiasi hicho kuweza kurudisha mashambulizi, hawezi kuthubutu. Labda aombe radhi kwa kuupiga ubalozi wa Iran, aseme ilikuwa bahati mbaya.
 
Taarifa za hivi punde! Israeli imesema itajibu hayo mashambulizi ya Iran si kwa maneno bali kwa Vitendo!
Muajemi ajiandae!
 
Taarifa za hivi punde! Israeli imesema itajibu hayo mashambulizi ya Iran si kwa maneno bali kwa Vitendo!
Muajemi ajiandae!
Hawezi Mtangazaji wa cnn Niick Robson anasema maisha yake hajawahi ona anga la Israel drones na Missiles vile.

Afu wasubutu kurudisha, tena zingine zilitunguliwa Jordan.

Iran ikatuma drones 180 na Missiles 100, tena hio inaitwa ni very small punishment 😄
 
😄 missiles na drone zimepiga target Iran amepeleka drone 500 na na pia Missiles nyingi zimefika kwenye target, nyie bakini mnaimba hapa, na Israel hatasubutu kurudisha kipigo, hio ilikuwa ni break fast.

Iran ni level ingine.
Wamekufa wangapi?
 
Wamekufa wangapi?
CNN ndio walisema drone 500 kumbe ni drone 200 mpaa US hawajui drones ngapi.

Israel atakuja sema ukweli baada ya miaka kumi hivi, kama vile zile Scud za Iraq alisema kwanza hakuna mtu kafa badaye wakasema baada ya miaka 10 walio kufa ni wa Israel 127.

Kama vile America alisema hakuna mwanajeshi wa America alikufa pale kwenye base ya Ain Al Asad Iraq,badaye wakaja kukiri ni wanajeshi 80 walikufa kama alivyo ongea Iran
 
Na hichi ndicho marekani anakitaka ukichanganya binadamu wa sasa hasa vijana wanapenda uhuru wa kuishi wanavyotaka naona kabisa Iran atageukwa na raia wake.
 
Mkazi wa tandale anajua hadi aina ya missile iran walizorusha dhidi ya israel
Yaani anataka kutuaminisha iran walimpa briefing kabla hawaja-attack israel ila jamiiforum kuna watu wanavituko sana
Al Jazeera wameonesha leo aina tatu za makombora ya Iran yaliyorushwa na aina nne za mifumo ya Israel ya kutungua makombora.
Dunia ya leo ya utandawazi hakuna kitu kisichojulikana. Kila kitu kiko open. Hata sehemu makombora yalipoangukia mabaki yake TV imeonesha.
 
Taarifa za hivi punde! Israeli imesema itajibu hayo mashambulizi ya Iran si kwa maneno bali kwa Vitendo!
Muajemi ajiandae!
Na muisraeli majibu yake nadhani wote tunayajua sasa watu wasije anza kusema haki za binadam mara sijui cease fire. Nimesoma mahali Iran kasema yeye tayar kashalipiza kisasa na kumtaka Israel asijibu mapigo inamaana Iran yeye hataki hii vita au?
 
Hiki ndo nilikuwa nakifkilia,yaani aingie mzima mizma then wajomba wafanye jambo
 
Al
Haha drone za Iran hazifati GPS dogo, usidhani Missiles zote zinafata GPS.
Drones za "Shaheed family" zote zinatumia GPS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…