Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbinu pekee ya CCM kushinda Uchaguzi huu ni miujiza tu, hali yao si tu ni mbaya bali ni dhooofuli hali.
Jionee mwenyewe.
Jionee mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kweli kweli.Mbinu pekee ya ccm kushinda Uchaguzi huu ni miujiza tu , hali yao si tu ni mbaya bali ni dhooofuli hali .
Jionee mwenyewe .
Si mlisema hatutapata hata mmoja?? Hao kumi wanatoka wapi?Mkipata wabunge kumi ombeni Mungu.
Mkipata wabunge kumi ombeni Mungu.
Mkuu siyo wawili tena ?Mkipata wabunge kumi ombeni Mungu.
Hahaha hawajamaa wanachekesha sana. Yaani ukiwasikiliza miaka mitatu nyuma na wanayosema leo utajua wamechanganyikiwa.Mkuu siyo wawili tena ?
Kumbuka kwamba Magufuli na mgombea wake walizomewa huko kwao kanda ya ziwa hadi akakasirika na kuwatishaUnaipungia Mkono Wa Kwaheri CCM simply Kwa kuwa Ndg.Heche Ameshangiliwa na WANAKIJIJI Katika KATA?!!
Yaani Wanakijiji Wa Kijiji Kimoja....Hata Ingekuwa Kata Nzimaa...
😂😂Seli Nyekundu Za Damu Banaaa....
Haya MUNGU Atupe sote Pumzi na Afya Tele Tuione Wiki ya Baada ya Oktoba 28 Aaamin.
Magufuli anabwagwa na Lissu ni wapi atakakominyia maendeleo ? hana tena nafasi hiyo , anaangukia pua safari hiiHeche anapoteza muda wake. Kwanza upinzani wanamkera sana raisi na ndo mana amewanunua ili muishe. Mana mnamchanganya kwenye utendaji. Uelewe awamu hii wapinzani hawana kazi mana hakuna safari za nje,ufisadi hakuna.
Na ndo mana mnaongea na kiongozi wa nchi mmeweka mikono mfukoni. Hata baba yenu mnakuwaga ivyo ivyo? Ama ni kuburi cha kikurya kuwa ni murisha.
Chadema awamu hii hampiti tarime. Tuchague upinzani afu tutengwe kuletewa Huduma za kijamii. Na sema kwa no kubwa sana. Tena no mana jpm hataki wapinzani hammsikilizi raisi kazi ni kupinga tu.
Pia awamu hii uongozi unaenda kwa Uko wa akina weitara. Hata huyu sijui ni wa wapi hajui unabii ulivyonenwa hapo zamani za kale yaani za kale. Jimbo likiwa LA wapinzani mnatengwa pia mkiomba Huduma hampewi na serikali mana muwakilishi wenu ni wa cdm na huku raisi ni wa chama Kingine kazi inabaki kuvutana tu.
Angalia hata KISHIRI tu ilishabikia chadema mpaka Leo hii hakuna umeme wala maji mpaka barabara
Heche anapoteza muda wake. Kwanza upinzani wanamkera sana raisi na ndo mana amewanunua ili muishe. Mana mnamchanganya kwenye utendaji. Uelewe awamu hii wapinzani hawana kazi mana hakuna safari za nje,ufisadi hakuna.
Na ndo mana mnaongea na kiongozi wa nchi mmeweka mikono mfukoni. Hata baba yenu mnakuwaga ivyo ivyo? Ama ni kuburi cha kikurya kuwa ni murisha.
Chadema awamu hii hampiti tarime. Tuchague upinzani afu tutengwe kuletewa Huduma za kijamii. Na sema kwa no kubwa sana. Tena no mana jpm hataki wapinzani hammsikilizi raisi kazi ni kupinga tu.
Pia awamu hii uongozi unaenda kwa Uko wa akina weitara. Hata huyu sijui ni wa wapi hajui unabii ulivyonenwa hapo zamani za kale yaani za kale. Jimbo likiwa LA wapinzani mnatengwa pia mkiomba Huduma hampewi na serikali mana muwakilishi wenu ni wa cdm na huku raisi ni wa chama Kingine kazi inabaki kuvutana tu.
Angalia hata KISHIRI tu ilishabikia chadema mpaka Leo hii hakuna umeme wala maji mpaka barabara
Ulinisikia wapi nikisema hivyo kamanda?Si mlisema hatutapata hata mmoja??...
Heee team kwaya a.k.a praise teamUlinisikia wapi nikisema hivyo kamanda?
Nimesema angalau kumi, hujui kusoma?Mkuu siyo wawili tena ?
Jibu swali, ulinisikia wapi?Heee team kwaya a.k.a praise team
Unawakilishwa na team yako.Jibu swali, ulinisikia wapi?
Acha kunguka zunguka kama pia.Unawakilishwa na team yako.
Kuna wakayi CCM ilisema CHADEMA haitapata mbunge hata mmoja, sahizi mnasema wabunge kumi, wiki ijayo mtasema wabunge 50, mwishoni mwa mwezi sijui mtasema wangapi!Mkipata wabunge kumi ombeni Mungu.
Ulisema mmoja,wamefikaje kumi?Mkipata wabunge kumi ombeni Mungu.