Uchaguzi 2020 Video: John Heche akishangiliwa na wananchi wa kata ya Nyanshicha kijiji cha Nyantira kwenye kampeni, CCM kwaherini

Uchaguzi 2020 Video: John Heche akishangiliwa na wananchi wa kata ya Nyanshicha kijiji cha Nyantira kwenye kampeni, CCM kwaherini

Unaipungia Mkono Wa Kwaheri CCM simply Kwa kuwa Ndg.Heche Ameshangiliwa na WANAKIJIJI Katika KATA?!!

Yaani Wanakijiji Wa Kijiji Kimoja....Hata Ingekuwa Kata Nzimaa...

😂😂Seli Nyekundu Za Damu Banaaa....

Haya MUNGU Atupe sote Pumzi na Afya Tele Tuione Wiki ya Baada ya Oktoba 28 Aaamin.
 
Unaipungia Mkono Wa Kwaheri CCM simply Kwa kuwa Ndg.Heche Ameshangiliwa na WANAKIJIJI Katika KATA?!!

Yaani Wanakijiji Wa Kijiji Kimoja....Hata Ingekuwa Kata Nzimaa...

😂😂Seli Nyekundu Za Damu Banaaa....

Haya MUNGU Atupe sote Pumzi na Afya Tele Tuione Wiki ya Baada ya Oktoba 28 Aaamin.
Kumbuka kwamba Magufuli na mgombea wake walizomewa huko kwao kanda ya ziwa hadi akakasirika na kuwatisha
 
Heche anapoteza muda wake. Kwanza upinzani wanamkera sana raisi na ndo mana amewanunua ili muishe. Mana mnamchanganya kwenye utendaji. Uelewe awamu hii wapinzani hawana kazi mana hakuna safari za nje,ufisadi hakuna.

Na ndo mana mnaongea na kiongozi wa nchi mmeweka mikono mfukoni. Hata baba yenu mnakuwaga ivyo ivyo? Ama ni kuburi cha kikurya kuwa ni murisha.

Chadema awamu hii hampiti tarime. Tuchague upinzani afu tutengwe kuletewa Huduma za kijamii. Na sema kwa no kubwa sana. Tena no mana jpm hataki wapinzani hammsikilizi raisi kazi ni kupinga tu.

Pia awamu hii uongozi unaenda kwa Uko wa akina weitara. Hata huyu sijui ni wa wapi hajui unabii ulivyonenwa hapo zamani za kale yaani za kale. Jimbo likiwa LA wapinzani mnatengwa pia mkiomba Huduma hampewi na serikali mana muwakilishi wenu ni wa cdm na huku raisi ni wa chama Kingine kazi inabaki kuvutana tu.

Angalia hata KISHIRI tu ilishabikia chadema mpaka Leo hii hakuna umeme wala maji mpaka barabara
 
Heche anapoteza muda wake. Kwanza upinzani wanamkera sana raisi na ndo mana amewanunua ili muishe. Mana mnamchanganya kwenye utendaji. Uelewe awamu hii wapinzani hawana kazi mana hakuna safari za nje,ufisadi hakuna.

Na ndo mana mnaongea na kiongozi wa nchi mmeweka mikono mfukoni. Hata baba yenu mnakuwaga ivyo ivyo? Ama ni kuburi cha kikurya kuwa ni murisha.


Chadema awamu hii hampiti tarime. Tuchague upinzani afu tutengwe kuletewa Huduma za kijamii. Na sema kwa no kubwa sana. Tena no mana jpm hataki wapinzani hammsikilizi raisi kazi ni kupinga tu.

Pia awamu hii uongozi unaenda kwa Uko wa akina weitara. Hata huyu sijui ni wa wapi hajui unabii ulivyonenwa hapo zamani za kale yaani za kale. Jimbo likiwa LA wapinzani mnatengwa pia mkiomba Huduma hampewi na serikali mana muwakilishi wenu ni wa cdm na huku raisi ni wa chama Kingine kazi inabaki kuvutana tu.

Angalia hata KISHIRI tu ilishabikia chadema mpaka Leo hii hakuna umeme wala maji mpaka barabara
Magufuli anabwagwa na Lissu ni wapi atakakominyia maendeleo ? hana tena nafasi hiyo , anaangukia pua safari hii
 
Heche anapoteza muda wake. Kwanza upinzani wanamkera sana raisi na ndo mana amewanunua ili muishe. Mana mnamchanganya kwenye utendaji. Uelewe awamu hii wapinzani hawana kazi mana hakuna safari za nje,ufisadi hakuna.

Na ndo mana mnaongea na kiongozi wa nchi mmeweka mikono mfukoni. Hata baba yenu mnakuwaga ivyo ivyo? Ama ni kuburi cha kikurya kuwa ni murisha.


Chadema awamu hii hampiti tarime. Tuchague upinzani afu tutengwe kuletewa Huduma za kijamii. Na sema kwa no kubwa sana. Tena no mana jpm hataki wapinzani hammsikilizi raisi kazi ni kupinga tu.

Pia awamu hii uongozi unaenda kwa Uko wa akina weitara. Hata huyu sijui ni wa wapi hajui unabii ulivyonenwa hapo zamani za kale yaani za kale. Jimbo likiwa LA wapinzani mnatengwa pia mkiomba Huduma hampewi na serikali mana muwakilishi wenu ni wa cdm na huku raisi ni wa chama Kingine kazi inabaki kuvutana tu.

Angalia hata KISHIRI tu ilishabikia chadema mpaka Leo hii hakuna umeme wala maji mpaka barabara

Yaan umeandika pumba na umeonyesha uwezo wako mdogo wa akili ..

Ni hivi CCM walishindwa kumnunua mh. Heche, huyu usimlinganishe na Wakina Lijua kali njaa Kali...

Ukiona maendeleo yanatolewa kwa ubaguzi ujue hapo Ni chuki, ubaguzi na roho mbaya... Maana wote tunalipa Kodi...
 
Back
Top Bottom