Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Never Ever !Sugu anataka afe kiume ila kwa rushwa alizotoa BETINA Mbeya kwa namna yeyote atatangazwa mshindi
Jidanganye tu itafanywa kashinda kwa sababu anakubarika na maTulia Fund yake shauri yenuNever Ever !
Uwa nasisitiza mara zote hapa jamvini wafanye huo ujinga waone! Damu zitamwagika sisi Mbeya hatupelekeshwi kama gari bovuSugu anataka afe kiume ila kwa rushwa alizotoa BETINA Mbeya kwa namna yeyote atatangazwa mshindi
Wewe kama ni mwanaccm endelea kula hela za mwisho mwisho , Tulia hatofikisha hata robo ya kura za SuguJidanganye tu itafanywa kashinda kwa sababu anakubarika na maTulia Fund yake shauri yenu
Wakaibe Dodoma na Singida na Ruvuma kwenye misukule ya CCM. Hii ni Mbeya, tutapata kura, tutalinda kura zetu na tutahakikisha matokeo yanatangazwa ambayo SUGU ndiye mshindi.Jidanganye tu itafanywa kashinda kwa sababu anakubarika na maTulia Fund yake shauri yenu
Wameshafutwa sasa hivi sehemu ya kuwekeza nguvu kidogo ni Iramba baasSingida
Jaribu kumwaga mkojo uone kipigo cha mbwa kokoUwa nasisitiza mara zote hapa jamvini wafanye huo ujinga waone! Damu zitamwagika sisi Mbeya hatupelekeshwi kama gari bovu
Unawaza kukojolewa tuJaribu kumwaga mkojo uone kipigo cha mbwa koko
Hahaa na utapiamlo wakeKimbaumbau alifikiri Watanzania ni wajinga
Kwa madelu. Simskiii sahizi. Hata mikutano hafanyi?Wameshafutwa sasa hivi sehemu ya kuwekeza nguvu kidogo ni Iramba baas
Kama hawajipendi wafanye hivyo. Uchaguzi huu si wa kitoto, utaondoka na roho zao.Sugu anataka afe kiume ila kwa rushwa alizotoa BETINA Mbeya kwa namna yeyote atatangazwa mshindi