Video: Kijana afunguka alivyofanyiwa ukatili wa kutisha na mwenyekiti wa kijiji Uleling'ombe, kilosa

Huwaga hata sielewi, watu wakifanyiwa uhuni na ndugu zao au majirani wanaenda umbali mkubwa sana kwenye kisasi hata kulala na maiti, ila wakifanyiwa uhuni wa namna hii na mamlaka wanakuwa wanyonge sana.

Yale mambo ya uchawi au kulogana ni kwaajili yetu tu maskini na watu wa hali ya chini. Kwenye mambo kama haya ndiyo unapiga tukio, sio umechukuliwa mke au demu ndiyo unamsafiria mtuhimiwa alafu jambo serious kama hili unatulia tu.

Unaweza kuta mwamba anapambania haki yake mwenyewe kabisa, ndugu zake wamemuachia Mungu.
 
Hawa viongozi wanatengeneza na kutuzalishia tu machk..
Haya huyo dogo hapo anasema amepigw na kubakwa
Hii nchi ina mmbo ya kngs sana
😄


Ova
Usije kuhukumu maneno ya kusikia upande mmoja.
Huyo kijana nimepoteza imani ya maelezo yake aliposema kubakwa na kuwekewa simu.
Huyu tuhuma zake zenye kueleweka kazificha.
 
Hii mbona ndio jadi, huko kwenye vijiji na kata,nilifika kijiji kimoja, Kahama, panaitwa kalumwa, hapo kijijini,mwenyekiti wa kata, anaogopwa, balaa, wanannchi wanamuita Trump, kuna vijana walinzi wa, mnara waliiba Sora panel, wakakimbia, WEO akatuma mgambo wakamate wake zao, wakaletwa kwenye mkutano wa, kijiji, Yule Dada hatq kiswahili hajuhi,anaulizwa kisukuma, huku Mwenyekiti wa kata, anamgonga kwenye magoti na rungu! Baadae Mme wake akakamatwa, akapigwa faini kulipa ngombe, ngombe anachinjwa wanakula wanaume tu!
 
Usukumani kawaida sana😭😭😭
 
Mitandaoni na majukwaani mnawasema vibaya mapunga kumbe mna viwanda vya kuwazalisha kabisa..

Kumbana pumbu chalii na kumlawiti ni kumtala aweje sasa??

Huyu mwenyekiti jinga kabisa...

JamiiForums wasaidieni hao vijana kupaza sauti wapate haki yao, hiyo adhabu ya kulawiti sijui huwa wanaipendea nini hawa mafala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…