nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Sesten ZakazakaDah sijui kwanini Yanga walichagua kuchezea Mwanza, pitch sio nzuri, mashabiki sio wengi kivile, na hawana ustaarabu wala uvumilivu. Ila hayo ya kuzomewa na kudhalilishwa kwa Zahera alishatabiri Haji Manara
View attachment 1246813
Dah! Sorry mpenzi nilishindwa kuvumilia namna mlivochemka hasa kwenye kuchagua uwanja wa kuwachinjia Waarabu ikabidi tu niingie jukwaani muda huo niwanange kidogoπππSesten Zakazaka
JF Expert Member
Today at 3:12AM.
Mmmh πΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈ
Wacha weee!!!Dah! Sorry mpenzi nilishindwa kuvumilia namna mlivochemka hasa kwenye kuchagua uwanja wa kuwachinjia Waarabu ikabidi tu niingie jukwaani muda huo niwanange kidogoπππ
Si unajua tena mamii siku nyingine unaota mmecheza na Yanga mmewafunga goli za kutosha halafu upo na Shadeeya wambembeleza na kumfuta machozi asilie sana maana ndio mpira ulivyoπ€ͺWacha weee!!!
Hivyo hata usingizi ulikuwa wa kuunga unga leo love. Ila ndio mpira ule bana. ππππ
Wacha weee!!!
Hivyo hata usingizi ulikuwa wa kuunga unga leo love. Ila ndio mpira ule bana. [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Mtani umefufukia wapi aisee!!![emoji16][emoji16][emoji16]