Video: Konda ampiga Kichwa abiria

Video: Konda ampiga Kichwa abiria

Maambukizi ya HIV hayawezitokea hapo ikiwa mmojawapo ni...?
 
Sijui kwanini ila watu wanaopigana huwa nawaona wamepungukiwa na akili. 👎
Mimi huwa sipendi ugomvi kabisaa.
Nikiona zogo najikata kisilesi na kama kuna mgaigai anataka kunizingua na kanijia kwa vurugu huwa sijibu ngumi zake bali nambeba na kumrusha juu.....

Ugomvi ni jambo la kijamii. Kupigana ni ujinga
 
Mimi huwa sipendi ugomvi kabisaa.
Nikiona zogo najikata kisilesi na kama kuna mgaigai anataka kunizingua na kanijia kwa vurugu huwa sijibu ngumi zake bali nambeba na kumrusha juu.....

Ugomvi ni jambo la kijamii. Kupigana ni ujinga
Kwa hiyo Hamas na Israel ni wajinga?

Tanzania na Uganda ya Idi Amin walikuwa wajinga?

Au kupigana kwa kutumia ngumi pekee ndo ujinga lakini kwa kutumia silaha ndo si ujinga?
 
Mimi huwa sipendi ugomvi kabisaa.
Nikiona zogo najikata kisilesi na kama kuna mgaigai anataka kunizingua na kanijia kwa vurugu huwa sijibu ngumi zake bali nambeba na kumrusha juu.....

Ugomvi ni jambo la kijamii. Kupigana ni ujinga
Unamrusha juu 😂😂😂😂

Mimi ndio maana naogopa wanaume! Imagine unarushwa huko 😅
 
Mimi huwa sipendi ugomvi kabisaa.
Nikiona zogo najikata kisilesi na kama kuna mgaigai anataka kunizingua na kanijia kwa vurugu huwa sijibu ngumi zake bali nambeba na kumrusha juu.....

Ugomvi ni jambo la kijamii. Kupigana ni ujinga
We jamaa akiwa mzito utambeba?



Inapendeza watanzania wawe na utu si Tu kwao wenyewe lakini pia abiria nao NI wajinga mfano unasimamisha gari Huku Una nauli pungufu? Na unaforce kuingia na kukaa kwanini usimwambie mapema Konda kama ana moyo mzuri anakupa nafasi uwezi kosa gari kama Una nauli pungufu labda huna kabisa.


Inabidi unaomba Kwanza mwenzio Yuko kazini.


Hii inatokea hata kwa watu wengine jamaa anakuja mgahawani Hana pesa ya kutosha anaagiza anapewa anamaliza anatoa pesa pungufu akidaiwa analeta ubabe sio poa yaani kama ana Haki ya kula bure.


Sema kama hauna watu wakusaidie
 
Mimi huwa sipendi ugomvi kabisaa.
Nikiona zogo najikata kisilesi na kama kuna mgaigai anataka kunizingua na kanijia kwa vurugu huwa sijibu ngumi zake bali nambeba na kumrusha juu.....

Ugomvi ni jambo la kijamii. Kupigana ni ujinga
Kwahiyo hata akitokea mtu akakushika kalio hupigani? Utasema "niache bwana, jamani wewe mbona unakuwa mkorofi"
 
Kwa hiyo Hamas na Israel ni wajinga?

Tanzania na Uganda ya Idi Amin walikuwa wajinga?

Au kupigana kwa kutumia ngumi pekee ndo ujinga lakini kwa kutumia silaha ndo si ujinga?
Israel na Hamas ni kweli wajinga. Lakini kila mmoja wao anapambana in self defence ingawa najiuliza was is neccessary yaliyojiri Oktoba 7, 2023?

Ukifuatilia vita ya Tanzania na Uganda ilikuwa ni upumbavu wa mchokozi na kisha aliyejibu mapigo hakuwa mjinga
 
Kwahiyo hata akitokea mtu akakushika kalio hupigani?
Hivi ni mazingira gani mtu hushikwa kalio? Kwa nini umekimbilia kwenye kalio? Vipi anayemtukana mzazi wangu?
Self defence ni kum-nutralize the opponent asiwe tishio zaidi.

Hakuna kupigana by all means
 
We jamaa akiwa mzito utambeba?



Inapendeza watanzania wawe na utu si Tu kwao wenyewe lakini pia abiria nao NI wajinga mfano unasimamisha gari Huku Una nauli pungufu? Na unaforce kuingia na kukaa kwanini usimwambie mapema Konda kama ana moyo mzuri anakupa nafasi uwezi kosa gari kama Una nauli pungufu labda huna kabisa.


Inabidi unaomba Kwanza mwenzio Yuko kazini.


Hii inatokea hata kwa watu wengine jamaa anakuja mgahawani Hana pesa ya kutosha anaagiza anapewa anamaliza anatoa pesa pungufu akidaiwa analeta ubabe sio poa yaani kama ana Haki ya kula bure.


Sema kama hauna watu wakusaidie
Kudharau kazi na ofisi ya mtu ni dalili ya kukosa malezi.

Ukinitukana wala sina habari nawe kwa sababu tusi lako haliondoki na hisia zangu wala sipati maumivu.


Lile somo la akikupiga kushoto geuza shavu akutwange lingine haimaanishi kwamba wewe ni zuzu bali ni kuonesha kuwa you dont need to payback attrocities unazofanyiwa
 
Back
Top Bottom