Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Naeupuka ugomvi kwa gharama yoyote ile, haijalishi nitaonekana mjinga, yan hata iweje, kupigana mimi ni Nooo never.
@naungana nawe binti kiziwi , mtu anayepigana kwakwel unaweza kuta akili haiko sawa.
Na hiv sasa maisha yalivyo tight watu wana changamoto kubwa sana ya afya ya akili kwa kiwango kikubwa.
Nakumbuka last week niko mtaani tunatembea na Yf , ikatokea boda boda kama mnavyowajua akil hawana japo yule alikua ni mtu mzima, akaja kwa nyuma akashi break miguuni kwa wife akamgusa, mimi sikushtuka kwalua boda ilitokea nyuma, yf akanishtua kuwa "huyu ametaka kunigonga, angalia mguu wangu akanigusa"
Kuchek kwel nakuta alama za tyre, nilipandwa na jazba ghafla ,japo nikaji controll kwakua yyf hakuudhurika, nikageuka kurud na kuuliza braza vipi?
E bwana eehh, yule mtu sijui alikua kavuta bangu, alikuja kunivaa ghafla, uzur nikamkwepa, watu washasogea, anakuja tena kwa kasi, watu wakamzuia, nikaulize, "mzee kuna lingine zaidi au ni suala hili hili tu"? Akawa ana foka na matusi tu,
nikaona hapa kuna shetan kasimamia show vilivyo huu upepo sio wa kawaida, nikarud pembeni nikajichukulia mke wangu nikasema turud tu home, huko tuendako si kwema.
As a man i was sooo embarrased ila ndio vile sasa, mimi huwa sipigani hata iweje
@naungana nawe binti kiziwi , mtu anayepigana kwakwel unaweza kuta akili haiko sawa.
Na hiv sasa maisha yalivyo tight watu wana changamoto kubwa sana ya afya ya akili kwa kiwango kikubwa.
Nakumbuka last week niko mtaani tunatembea na Yf , ikatokea boda boda kama mnavyowajua akil hawana japo yule alikua ni mtu mzima, akaja kwa nyuma akashi break miguuni kwa wife akamgusa, mimi sikushtuka kwalua boda ilitokea nyuma, yf akanishtua kuwa "huyu ametaka kunigonga, angalia mguu wangu akanigusa"
Kuchek kwel nakuta alama za tyre, nilipandwa na jazba ghafla ,japo nikaji controll kwakua yyf hakuudhurika, nikageuka kurud na kuuliza braza vipi?
E bwana eehh, yule mtu sijui alikua kavuta bangu, alikuja kunivaa ghafla, uzur nikamkwepa, watu washasogea, anakuja tena kwa kasi, watu wakamzuia, nikaulize, "mzee kuna lingine zaidi au ni suala hili hili tu"? Akawa ana foka na matusi tu,
nikaona hapa kuna shetan kasimamia show vilivyo huu upepo sio wa kawaida, nikarud pembeni nikajichukulia mke wangu nikasema turud tu home, huko tuendako si kwema.
As a man i was sooo embarrased ila ndio vile sasa, mimi huwa sipigani hata iweje