Video: Kuna kuzaa mtoto na kuna kuzaa mtoto wa kizungu – Harmonize

Demu wako ulimkuta bikra
 
masikini akipata utajua tabia yake
 
asee mmakonde ni mmakonde tu.....
 
Haya ndo madhara ya kuongea vitu ukiwa too much exited,,, the only thing alitakiwa ni kusema Asante kwa kuwa anatarajia kuwa baba,,, mambo ya ku’classify sijui mtoto na mtoto wa kizungu ni ULIMBUKENI tu... aache tabia za kishamba zinamshushia credits!
 
Maskini akipata matako hulia mbwata mbwata!!! Lol
 
Nakwambia mm sasa mtoto atatoka shombe shombe, km unabisha nipe ruhusa nikachepukee na mzungu au muarabu uonee[emoji4] yani tunafanya majaribio KBS kwa vitendo
Yan nikubetie wewe kwa mzungu.

Hapo ni HAPANA heri tusubiri tu majibu.

Majaribio hamna kabisa.

Tena nisisikie tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…